Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimerud mkuuDogo umerudi likizo ?
AminaMungu akuzidishie hekhma,umejib vema,Mungu ndiye muumbaji
ukiacha bangi ndo utaanza kunielewaMbona nyie mnasema sisi tunaflat screen kwan nyie ndo mungu
[emoji377][emoji377][emoji377][emoji377]bangi siachi
Wanaume wa hivyo wanaringaga kuliko wanawake,alafu wachoyo balaa
Sema wengi wanakuaga wasafi Sana icho tu ndo nnachowapendea
Awahongi(kwa lugha nyepec)Uchoyo wa nini?
Beira karibu habari za wapi? Tupe michapo ya huko?Nimerud mkuu
Mchukue huyu nduguyo tafadhali[emoji23]Hahaha hapo mwisho sasa
Unataka niwaze mambo ya Forex wakat hesabu nilipata F walllah pambana na mahesabu yako huko huko ukiona mtu ayesolve mahesabu kapita kwenye mambo ya mapenzi jiulize sanaHunaga mada nyingine tofauti na ngono...