Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaa yaani. Hahahaaa.[emoji16][emoji16][emoji16]aisee dada umejua kunichekesha hakuna mama wala baba wote wasweeety
We ni msafi au unaringa?Kama mimi alafu!
Hahahaaaa watoto wanajikuta wanavurugwa hawajui nani Dady nani Mommy.... HeheheeHahahaa. Na kweli aisee. Hizo sura nzuri watuachie sie Ke.
Sababu mwisho wa siku mkikaa hakuna tofauti kati ya Baba na Mama sababu wote nyuso zina poda kama nyusi wote mmetinda. Khaaaa. Ndio nini sasa.
Dah ,uzuri sijijui nikoje ila dah we unakatisha sana watu tamaaMwanaume ukiwa mbaya uwe na tuhela
Unakuta mwanaume mbaya hela hana alafu anawivu kama nn
Aku mm sitak
Mkuu mbn umeumia sana ndugu yangu kuna tatizo jaman mm nimetoka kijiji cha Nyakahanga karagweee hukoKweli wanawake wengine vipofu..!!
Sasa huyu kati ya wanaume wazuri naye yupo..???
Hivi unatoka kijiji gani wewe Demiss..??? Ngoja nimshirikishe Mange ndio atakupa majibu mubashara.
Njoo pm km hutaki niseme[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nipo tayar kwa somo mm na dada angu Emmy tena
Sema leo nimetumia hii kitu[emoji377][emoji377][emoji377]
Naomba usiseme kwa dada sawa
Mambo ni km hv[emoji16][emoji16][emoji16]uje na paja la mbuziiii