Siwez kulazimisha moyo siweziiii kamweeee siwez narudia tena siwezzzzHongera kwa kusifia unachopenda,sinaga tabia ya kuandika uzi mimi endelea tu kutuponda sisi sura ngumu ila sisi ndo huwa tunapiga mambo kiukweli hao wenye sura nzuri wengi ni mashoga.....yaani linakupumulia kwa bao 1 au 2 baadae nalo linaenda kupumuliwa na wengine[emoji1] [emoji1] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
[emoji23] [emoji23] sio taifa tu,hata kukujenga wewe pia.Safi sana watu wenye akili kam wewe mnafaaa sana kufanya kazi za kujenga taifaaa
[emoji377][emoji377][emoji377]
Ndo hivyooo mkuuuu nikishapenda pesaa haina nafasi upendo na hisia ndo kinachotawala kuleta amaniUnaona, this is the type, nje matata, ndani moyoni soooft. Machachari mpaka midume inaogopa kusogea lkn anayesogea anafaidi kwelikweli. Watu wanabaki kusema Yule jamaa amefuata nini pale, demu pasua kichwa. Aahh [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Nilikua nawaza jibu la kukupa ila niliposoma hii sentensi nikaona haina haja tena ya kuendelea kuwaza jibu!Bangi siachi na leo nimevuta cha Arusha
Nakushangaa mtu mzima kisheti kufatilia mambo ya wanawakeNilikua nawaza jibu la kukupa ila niliposoma hii sentensi nikaona haina haja tena ya kuendelea kuwaza jibu!
Pole sana kwa maswahibu ya maisha.
[Emoji23]Sawa na wala sitaman kukujua
Hahahahaa!!![emoji23] [emoji23] sio taifa tu,hata kukujenga wewe pia.
Uache utoto basi.Kwan nikifa utapungukiwa nn kila mtu atakufa
Wachoyo hahaha haahWanaume wa hivyo wanaringaga kuliko wanawake,alafu wachoyo balaa
Sema wengi wanakuaga wasafi Sana icho tu ndo nnachowapendea
Mtu mzima akiona sehem za wakubwa zinachezewa na watoto bila staha lzm aseme jambo.Mm mtoto nikiwa mkubwa nitaacha
Ukiona mtu mzmaa anapita kwa watt inabid na yy akubali hali halisi
Ngoma droooo