Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

na mimi nipeni maksi..
punda dume.
 

Attachments

  • BMVPZkaCMAANpp_.jpeg
    BMVPZkaCMAANpp_.jpeg
    16.6 KB · Views: 20
Mtu mzima akiona sehem za wakubwa zinachezewa na watoto bila staha lzm aseme jambo.

Sijui ni ushamba wa mitandaoni, utoto au ulimbukeni lkn bado nakusisitiza kwamva kwa tusio penda ujinga sehem za wakubwa lzm tukemee
Naomba uniambie ujinga hapo ni upiii
Hapa kila mtu anajiachia kadri anavyopenda na ndo maana kuna majukwa tofaut

Usiposema ujinga uliouna hapo huo sasa utakuwa wivuuu na ushamba wa kikoloni wa miaka ya 90s
 
Mwanaume anang'ata lipsi lazima atakuwa ana boostiwa kwanza
 
mmh huu uzi haunihusu mie wenye ngozi nyeupe ya kichotara ngoja nkimbie.
 
Kuna wanaume wamebarikiwa hapa duniani mpaka unajiuliza angekuwa chips kuku (wadada tunapenda ) ningekuwa namuagiza kila siku namla huyu nyam nyam. Yani mwanaume amebarikiwa jamani, ngozi nyeusi ya kuvutia kama chocolate, macho ya kimahaba, kifua mashalaaaah, dushe la wastani na kuteleza, tabasamu lake sasa uwii! Akiwa kitandani ndo hata usiulize, anapendeza pamba balaa.

d5aa344880d41810f9db16b87598e517.jpg


Jamani na hii baridi kwa kweli unaweza hata usihisi njaa ukiwa na mwanaume kama huyuu maana yeye ni shibe tosha. Wanaume wazuri wanafanana na chakula kizuri ninachopenda kula maana anavutia mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi speed 120 kwa saa.

Nyongeza:

Mwanaume ukiwa na msura mbaya uwe na pesa alafu usiwe na wivu maana sura lako linatisha kama mchawi karaba.

Demiss(cha mdeko)

Dada leo unaonekana Kiwango chako cha ' Nyege ' kipo juu mno halafu ni kama vile anayekubandua / kubaioloji kila siku labda ameenda ' Kozi ' zetu zile za Kimedani.
 
Back
Top Bottom