Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Pesamwanaume mashine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesamwanaume mashine
EeehKwenye mihangaiko ya hapa na pale,niliwahi kukutana na mshikaji flani hivi ni mzaliwa wa tanga huyu jamaa alikuwa mzuri kupita kiasi yaani mzuri hasa ukitizama passpot yake unaweza sema mwanamke lips za kike macho ya kike.
Note:sijamsifia wala sitamani wanaume wenzangu ila najaribu kueleza muonekano wake ili nieleweke
Huyu jamaa alitokea kuwa rafk angu sana alikuwa ananikubali kupita kiasi most of the time alikuwa anapenda kunitumia sms "anaandika jina langu then mwishoni anamalizia na i adore you"mala kibao sana alikuwa anapenda kunitumia hiyo sms dah nilikuwa najiuliza ila nachukulia poa coz nimshikaji nasema haina noma.
Tulikuwa kwenye taasisi flani hivi,na maanisha tulikuwa wengi sana lile eneo ikafika kipindi washikaji wa pembeni wakaanza kuhoji urafk wetu,kwa pembeni mala inakuwaje hapa mbona hawa jamaa marafk sana na urafk wao siuelewagi,kiukweli nikuja sikia tetesi flani flani kwa pembeni na sikuzipenda niliona kama wanatuchora na wanamfikiria vibaya mshikaji wangu,
Huyu jamaa alikuwa ananijali vibaya mno,sometimes akienda deti lazima aje na zawadi kwajili yangu,lazima kila ucku aje aniage kwamba nd anaenda lala hivo,lazima kila asubuh aniulize how do you fel this morning,umeotaje,umeakaje,mchana mwingi alikuwa anaenda kuninunulia msosi,ikafika kipindi nikajishtukia ikanibidi nifanye kama namjali na mimi kiasi flani hivi japo niliona anavuka mipaka,
Hazikupita siku nyingi alichokuja kunifungukia dah,sikuamini masikio yangu,na urafiki ukafa ila mpaka leo huyu jamaa ananitafuta mala kibao japo me sina time nae,
Namaliza kwa kusema wanaume wazuri wanashida sana,tena shida kubwa mno hivyo si vyema kuwa karibu nao,wana mabalaa hawa.
ChaiKweli tumetofautiana mtoa posti anaapenda wanaume wazuri. Kidume hapa nikikutana na demu ana sura ngumu tena awe na machunusi kama limao huwa niko taabani tena awe na shape kama PAPAI ananimaliza kabisa si mchezo.
Pole sanaSimtaki mwanamme mzuri kabisaaa
Nlozaa nae mzuri huyo hamfikii hata kidogo lkn shughuli yake niliipata
Acha umalaya na ndoto za mchana. Usitamani mali ya mwenzio mwanangu.Kuna wanaume wamebarikiwa hapa duniani mpaka unajiuliza angekuwa chips kuku (wadada tunapenda ) ningekuwa namuagiza kila siku namla huyu nyam nyam. Yani mwanaume amebarikiwa jamani, ngozi nyeusi ya kuvutia kama chocolate, macho ya kimahaba, kifua mashalaaaah, dushe la wastani na kuteleza, tabasamu lake sasa uwii! Akiwa kitandani ndo hata usiulize, anapendeza pamba balaa.
![]()
Jamani na hii baridi kwa kweli unaweza hata usihisi njaa ukiwa na mwanaume kama huyuu maana yeye ni shibe tosha. Wanaume wazuri wanafanana na chakula kizuri ninachopenda kula maana anavutia mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi speed 120 kwa saa.
Nyongeza:
Mwanaume ukiwa na msura mbaya uwe na pesa alafu usiwe na wivu maana sura lako linatisha kama mchawi karaba.
Demiss(cha mdeko)
Uliepost uzi huu, ambatanisha ka picha kako nami sura ngumu nitoe ya moyoniKuna wanaume wamebarikiwa hapa duniani mpaka unajiuliza angekuwa chips kuku (wadada tunapenda ) ningekuwa namuagiza kila siku namla huyu nyam nyam. Yani mwanaume amebarikiwa jamani, ngozi nyeusi ya kuvutia kama chocolate, macho ya kimahaba, kifua mashalaaaah, dushe la wastani na kuteleza, tabasamu lake sasa uwii! Akiwa kitandani ndo hata usiulize, anapendeza pamba balaa.
![]()
Jamani na hii baridi kwa kweli unaweza hata usihisi njaa ukiwa na mwanaume kama huyuu maana yeye ni shibe tosha. Wanaume wazuri wanafanana na chakula kizuri ninachopenda kula maana anavutia mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi speed 120 kwa saa.
Nyongeza:
Mwanaume ukiwa na msura mbaya uwe na pesa alafu usiwe na wivu maana sura lako linatisha kama mchawi karaba.
Demiss(cha mdeko)
fisimwekundu=MBITIYAZA.fisimweusi=MBITIYAZA ha haaa haaaa. kanda yetu.
Yupo sahihi mpenzi wangu Tresor Mandala sasa anavyosema mwanaume mzuri atashiba huo uzuri au ataendesha huo uzuri?
Ushawahi experience!Kumuita mwanaume mzuri hiyo ni disgrace, bora useme ana mvuto au muonekana. Mzuri mwanamke au shoga.
Shida ya muonekano ni moja, wanakuja wanawake usiowataka na wale unaowataka wanakuwa insecure na kusema wewe huwezi kosa mtu au unakwambia utanitesa. Pumbavu kabisa
Naona unajireply mkuuu!fisimwekundu=MBITIYAZA.
hili swali ni too personal kwa public, kama hujaelewa kwenye hiyo comment pole sanaUshawahi experience!
Hahahahaha.. Kheri ya Mwaka Mpya,kipenziYupo sahihi mpenzi wangu Tresor Mandala sasa anavyosema mwanaume mzuri atashiba huo uzuri au ataendesha huo uzuri?
Kheri ya Mwaka Mpya,
Na ww mkuuKheri ya Mwaka Mpya,
Asante myluv na kwako pia....Mwaka huu ukawe wa kheri na baraka tele na mahaba yetu yakajae ndi ndi ndiiiiiHahahahaha.. Kheri ya Mwaka Mpya,kipenzi
We mtotoAsante myluv na kwako pia....Mwaka huu ukawe wa kheri na baraka tele na mahaba yetu yakajae ndi ndi ndiiiii
Baba shikamooWe mtoto
Marahaba nataka mahari yangu haraka sana sitaki uolewe kienyeji enyejiBaba shikamoo