Kuna wanaume wengine hawana hata sifa za kupendwa

Mara nyingi ukiachwa ukiwa bado unampenda,

Hiyo hali unayopitia ni kawaida mkuu..

Utapoa tu
 
Mwisho wa siku yote ni ubatili mtupu, hatujaumbiwa hayo!
 
Vita kuu ya 4 ya dunia

[emoji23]
 
Ati nimwachwa lol mimi n baby wangu hatuachani mwaka huu, mwakani wala mwaka kesho. Kuachana mpk kifo tutenganishe 🙂
Sasa mbona unawasema wababy wa wenzio? Ama nao unawataka?

Kumbuka kuna preference na choices haviwezi fanana
 
Sasa huyo unayemsema wewe ulimkubali vipi au hayo umeyaona baada ya kukuacha mkuu?
 
Eti anaongea kama anapauka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We ni kuwafata tu hao wenye sifa za kupendwa, huna haja ya kutoa povu, very simple.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…