Masagala
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 2,278
- 3,960
huyu ni mdomo pisto mwingneWewe binti kila mara ni malalamiko tu juu ya wanaume. Ina maana wewe huwa unateswa na mapenzi kila siku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu ni mdomo pisto mwingneWewe binti kila mara ni malalamiko tu juu ya wanaume. Ina maana wewe huwa unateswa na mapenzi kila siku?
Mimi sio wa kushindwa kuwa categorise labda wengine lakin sio mimiNa bado tutawaonyesha kila rangi mwaka huu zamani mlituita mbwa sahivi mtashindwa hata kutukategorize..😂
Mkuu nimecheka kwa nguvuBila shaka n mumeo umeamua kumsema
Mbona wakat anakuhonga miambili miambil zake ulipokea leo hana umeona umlete huku
Mwanaume mwingine Yupo msiban ukwen Hana hata Mia anasubiri adandie roli la mnadan kurud kwao
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwani kila ninachoandika lazima kiwe kimenitokea mimi? Nina jamii inayonizunguka so cool downWewe binti kila mara ni malalamiko tu juu ya wanaume. Ina maana wewe huwa unateswa na mapenzi kila siku?
Wewe kila uzi wako umejaa malalamiko tu juu ya wanaume.Kwani kila ninachoandika lazima kiwe kimenitokea mimi? Nina jamii inayonizunguka so cool down
Vita kuu ya 4 ya duniaManeno ya mkosaji ayo,
Uliingia nae vipi kwny mahusiano ukijua kabisa Hana hivyo Vigezo unavyovitaka?
Kama kigezo Ni pesa tu, Basi sema wazi kwamba unajiuza.
Na Kama kweli unajiuza,
Uliona wapi kahaba akaangalia maswala ya uvaaji wa mteja wake.
Kwani uchi wenyewe mnauziana mkiwa na nguo?
Tusizunguke mbuyu Mtoa mada,
Hii biashara ya uchi wewe huiwezi, Hii kazi waachie wemyewe.
Nchi hii,
Fursa ziko chungu mzima, Nenda katafute kazi nyingine[emoji3525]
(No offense intended [emoji120][emoji4])
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikumbuki kama nimeandika mume wangu hapo juu [emoji849]
Sasa mbona unawasema wababy wa wenzio? Ama nao unawataka?Ati nimwachwa lol mimi n baby wangu hatuachani mwaka huu, mwakani wala mwaka kesho. Kuachana mpk kifo tutenganishe 🙂
Tuishie hapa..😅Mimi sio wa kushindwa kuwa categorise labda wengine lakin sio mimi
Sasa huyo unayemsema wewe ulimkubali vipi au hayo umeyaona baada ya kukuacha mkuu?Unakuta mwanaume hana pesa, kisirani saa zote amekunja sura, hawezi kuongea pole pole mda wote anaongea kama anapauka, sio handsome na hajui kuvaa. Mwanaume hana ata sifa moja ya kumfanya apendwe, yupo yupo tu.
Nyie wanaume mkiwa hamna pesa jitahidini kua vizuri sehem nyingine. Kua mchangamfu kwa kila mtu, kua mpole, kua msafi na ikiwezekana kua kama zoba kabisa ili upate angalau credits za kupendwa... ✍️