Kuna wanaume wengine hawana hata sifa za kupendwa

Mitchel98 , wherever u a ,I missed u so much [emoji1] sijui umechange jina humu sikupati
 
Mzee wa peramiho Kwa hiyo unamshauri Huyu Binti mleta mada akampokee Huyu jamaa anayekuja na Lori Toka msibani?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
My name my name Mimi ninavyote unavyovitaka nipe nafasi mrembo basi mie kunguru mwenye huruma
 
Ushapitiwa na kitu kizito, usikute kakukula ndo umekuja gundua hana kitu. Pole sana
 
Kwahio kumbe wewe ukipenda mazoba unaowaendesha kama gari bovu unataka mpaka walume ndago uwapelekeshe?
Kuwa timamu kidogo basi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]yaani nimecheka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenge ww, eti uwe zoba zoba, ili iweje? Nyie ndo mnaowapanda boys zenu vichwani.!
 
Eti anaongea kama anapauka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ameishi sana majuuu mpaka anaanza kusahau kiswahili "anaongea kama anapauka"
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mungu anatuangalia wanae tulivyo busy na mapenzi [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Mwanaume sifa kuu dunia ya sasa ni kuwa mrija wa kukuingizia kipato,mambo mengine ni mbwembwe tu za vijana wanaotaka kuhudumiwa na mijimama,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…