Kuna wanaume wengine hawana hata sifa za kupendwa

Kuna wanaume wengine hawana hata sifa za kupendwa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wamekusikia ila kubadilika ni juu yao
 
Na bado tutawaonyesha kila rangi mwaka huu zamani mlituita mbwa sahivi mtashindwa hata kutukategorize..[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] super women.... labda mazombieee
 
Ndiomana mimi nabutua mbele na nyuma tukiachana hata unisemeje ndio imetoka hivo niponipo sana ndani ya notocord muwasho utakulazimisha Baharia bado nipo sana. Va Fankulo we kisodoufufu. Kandhahari is a must
Fankulo kasooo
 
Back
Top Bottom