Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

DeepPond msikilize huyu dada.... hamna haja ya kubaki na huyo mwanamke kigeugeu
 
Kaka yangu nakuombea iwe mimba ya mapacha....bidada hatakiwi stress ni raha tuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni jana tuu nimepitia profike yako nikasikitika hakuna telemundo ya mama jay nusu nikuulize...ewaaa finally
 
Uzuri wa wanawake ni kitu kimoja tu: -Hawafanyi jambo au kuongea kitu kwa kubahatisha.

Kabla hajafanya jambo au kuongea neno lolote kwa mwanaume anakuwa anaelewa kabisa kuwa impact yake itakuaje and how it will ends- hawakurupuki

Wachache wanaokurupuka ndio hao wanaishia kupigwa risasi saba za kichwa na wengine kuchomwa na gunia za mkaa.

Huyo mama j,alishajua udhaifu wako kwake na anadili na mtu wa aina gani,and ofcourse,yes she is right

Hiki anachokufanyia mama j,asingejaribu hata kukiwaza kama angekuwa kwa mwanaume

Take it or leave it
 
Yaani nimecheka kweli kwa hizi sms dada wa watu anajieleza weeee jamaa anajibu short tu eti "ndio mlivyoshauriana" hahahah

Kuna BAADHI ya Wanawake wajinga sana huwa wanajiona keki sana hadi waoitishwe kwenye moto wa kihisia
 
huyo sio demuhuyo ni orphans mpeleke kituoni wakamlee mana hajakuwa bado. hizo levo za kubanduliwa na bodaboda wasiochana nywele
 
Huwa nawaambiaga vijana wenzangu kwamba USIMUONE HURUMA MWANAMKE na kwamba TAMBUA YA KWAMBA MWANAMKE HANA SHUKRANI HATA UMFANYIE NINI!

Tatizo Mapenzi gakiwakolea hamshauriki hadi mchezee machungu.
Kweli KABISA mkuu, Kuna wanawake hawana Shukran hata uwafanyie nn.
Yakimpanda anajitia upofu ujawai mfanyia chochote
 
Ndio..tena na mchepuko. Mchepuko kamroga, kamla hela saiv anakula zake bata tabora. Kila siku analia anamuomba mke wake msamaha. Nakuombea usije ukagundua its too late Deep. Nitakuchangia ila..hatutakuacha wana JF[emoji275][emoji275]
Dah! Hii mbona inatisha Sana[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…