Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

Ukimzoesha mwanamke hela atakuomba hata useme umefiwa na mama yako mzazi.

Mwanamke hata kama alikua anakupenda namna gani ukianza kumjali kupita kiasi anakuona boya na upendo juu yako unashuka balaa.
 
hahahah kuna wanawake wanawachezea wanaume jamani haki mnawapata wapi aseee pole brother watu tunatafuta wanaume wa ivo ye anawachezea so sad kiukwel
Huyu mwanamke anajiona cake Sana Yaan afu kimwonekano wa kawaida Sana, angejua wapo wazur weng sn Zaid yake asaingejifaragua hivi
 
Ila ndugu yangu hebu achana na mama jay jamani kama huwezi sema watu wakusaidie
Sahv najaribu kumpunguza mawasiliano kdg kdg nione km ntazoea Bila yeye,maana mbadala wake nmecheat Sana ila sijapata hata wa kufika 75% ya yeye.
 
Hivi kuna watu bado wanagharamia wanawake? mae
Ujue mkuu kuna mda na umri ukifika unahitaj utulivu,hasa kma umempata mwanamke anakupa kitu roho inapenda, sio kununua nunua tu makahaba ovyo unawalala maana hata condom nazo skuhz haziminiki tena
 
Anajua sehemu za kukutibua au mnatibuana kesho mpo safi. Madai anaumwa kumbe anapiga vyombo [emoji23]
Mgonjwa gani anaumwa afu anapiga bia?,
Msanii Sana yule, anaforce ilu apate attention nimhurumie kisa anaumwa.

Na ameshafanya hivi Mara kibao kanitia hasara sn hospital kumbe hata haumwi.

Kuna zile hospital ukijieleza kdg TU wanakutandika list ya madawa ya kununua
 
Baadae anatumia namba ngeni unapokea kumbe Ni yeye, anasema kaazima Simu ya shoga yake,mbona upokei sim zake, anaomba msamaha kwa kauli alizotoa muanze upya. Unasema sawa haina shida.

Kisha anasema vp sasa khs Ela ya kula unatuma? Unamuuliza Inamaana umeniomba msamaha ili upewe Ela ya kula au vipi? Anajibu hapana, msamaha wangu namaanisha. Unamwambia basi Kama unamaanisha jibebe mwnyw kwa Siku zilizobaki kwa mshahara na posho unazolipwa kazin kwako kila siku mpk nikisharudi.

Anadai haiwezekani kujibeba hata akiba ya Mia mbovu ndani hana,atalala njaa. Unamuuliza mshahara na posho za kazin kwake miaka 3 yote kazini anapelekaga wapi Kama anakosa hata Ela ya kujigharamia chakula kwa Siku chache hizi nilizosafiri.

Inamaana unakazi,ila Siku nisipoacha Ela ya kula wewe unakufa njaa? Anakujibu kwamba Wewe Ni mwanaume wangu, posho na mshahara wangu havikuhusu,timiza wajibu wako Kama wanaume wenzio, usitake mtelezo kupitia jasho langu.
Somo la haki sawa wamelianzisha wao wenyewe cha ajabu hata wao hawa lihelewi.
 
Back
Top Bottom