Kuna wanawake wachafu

Wahuni tumeshawafundisha ugumu..
 
Na rafiki yangu mmoja kaoa mwanamke yuko rafu kichizi kwanza sebuleni kwao siku zote zimezagaa nguo hovyo hovyo haijulikani ni nguo safi au chafu, anaweza akajiremba kinoma ukapishana nae mtaani bonge la mrembo ila mwana akikwambia twende nyumbani maramoja utaenda kukuta beseni limejaa maji ya ukoko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…