De Opera
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 780
- 1,664
Shughuli ipo kaka. 😄Sio sir kabisa hawafai hivi walio wanawake wachafu wanaishije
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shughuli ipo kaka. 😄Sio sir kabisa hawafai hivi walio wanawake wachafu wanaishije
YAani acha tyShughuli ipo kaka. 😄
Wew ndio unatakiwa kufua bhnsasa si mnafanya wote kwanini kufua afue peke yake
Wahuni tumeshawafundisha ugumu..Inasikitisha mwanamke wa sasaivi ana lalia shuka two weeks na haoni shida kabisa wakati kwa kawaida shuka linatakiwa libadirishwe ndani ya siku tatu kama hakujatokea maangamizi ya kitandani lakini kama yakitokea unapaswa badirisha baada ya maanagamizi ila kwa hawa wanawake wa sikuiz ni wachafu hajui kabisa usafi kufua kwao shida
Safi sanaBwashe mfundishe huyo bibie usafi kuanzia katika malazi, mapishi, mazingira kiujumla na somehow kiroho
Kwahy sasaiv mnachuana sioWahuni tumeshawafundisha ugumu..
Si umeachwa wewe?Safi sana
hahahaha ndo kama hivo inafika wiki ya pili hutaki chukua ukafueWew ndio unatakiwa kufua bhn
Wanaadapt uhuni..!Kwahy sasaiv mnachuana sio
Mbaya sana iyoWanaadapt uhuni..!
Wakat wewe una kazi ganihahahaha ndo kama hivo inafika wiki ya pili hutaki chukua ukafue
nina kazi kama zakoWakat wewe una kazi gani
we ni wakupigwanina kazi kama zako
Na ni kisa uchafu ivo ivo,😢😢Si umeachwa wewe?
Mimi na mtu mchafu haziivi kabisaBro unakataa kabisa
Ikatokea umekufa kwake itakuwajeMimi na mtu mchafu haziivi kabisa
Siwezi kufa kwa mtu mchafu, ntafufuka.Ikatokea umekufa kwake itakuwaje