Kuna wanawake wana roho ngumu sijawahi kuona

Kuna wanawake wana roho ngumu sijawahi kuona

INAENDELEA....!

Baada ya kuwasiliana na huyu jirani yangu tuliweza kupanga Namna na kuwanasa huku nikimshirikisha mdogo wangu ambaye yey alikuwa karbu.

Hazikupita hata siku nne wakawa wamerudi tena kwenye mchezo wao, jamaa alinipgia simu mida kama saa Saba hivi night, ikabid nimshtue mdogo wangu akachukua boda na washkaji wawili fasta mpka sehem ya tukio. Ikawa Haina haja ya kuita watu kuwanasa ukinzingatia Dem hakuwa mke halali Bali ni mtu Wang tu.

Kama masihara juhudi za kuwanasa zilifanikiwa, wakawapa kichapo pale ( japo niliwasisitiza wasiwadhuru ikawa msala wa kujichukulia Sheria mkonon).

Jamaa alijitetea kuwa manzi alimwambia lile getho ni la brother wake yupo nchi ya nje hivo amemwachia yeye kama mwangalizi.

Aise mwanamke ni kiumbe hatar san.
 
INAENDELEA....!

Baada ya kuwasiliana na huyu jirani yangu tuliweza kupanga Namna na kuwanasa huku nikimshirikisha mdogo wangu ambaye yey alikuwa karbu.

Hazikupita hata siku nne wakawa wamerudi tena kwenye mchezo wao, jamaa alinipgia simu mida kama saa Saba hivi night, ikabid nimshtue mdogo wangu akachukua boda na washkaji wawili fasta mpka sehem ya tukio. Ikawa Haina haja ya kuita watu kuwanasa ukinzingatia Dem hakuwa mke halali Bali ni mtu Wang tu.

Kama masihara juhudi za kuwanasa zilifanikiwa, wakawapa kichapo pale ( japo niliwasisitiza wasiwadhuru ikawa msala wa kujichukulia Sheria mkonon).

Jamaa alijitetea kuwa manzi alimwambia lile getho ni la brother wake yupo nchi ya nje hivo amemwachia yeye kama mwangalizi.

Aise mwanamke ni kiumbe hatar san.
Hii story sehemu ya kwanza tu nilijua ni CHAI. Ila sehemu ya pili ndio imekuja kufanya niamini wala sio chai, ni maji tu yameinjikwa kwenye jiko lisilo na moto, ikatiwa majani na kushushwa tayari kwa kunywa..

Hata hivyo umezidisha mno majani
 
INAENDELEA....!

Baada ya kuwasiliana na huyu jirani yangu tuliweza kupanga Namna na kuwanasa huku nikimshirikisha mdogo wangu ambaye yey alikuwa karbu.

Hazikupita hata siku nne wakawa wamerudi tena kwenye mchezo wao, jamaa alinipgia simu mida kama saa Saba hivi night, ikabid nimshtue mdogo wangu akachukua boda na washkaji wawili fasta mpka sehem ya tukio. Ikawa Haina haja ya kuita watu kuwanasa ukinzingatia Dem hakuwa mke halali Bali ni mtu Wang tu.

Kama masihara juhudi za kuwanasa zilifanikiwa, wakawapa kichapo pale ( japo niliwasisitiza wasiwadhuru ikawa msala wa kujichukulia Sheria mkonon).

Jamaa alijitetea kuwa manzi alimwambia lile getho ni la brother wake yupo nchi ya nje hivo amemwachia yeye kama mwangalizi.

Aise mwanamke ni kiumbe hatar san.
Jina lenyewe unaitwa wakunyonya, itakuwa ni PAIPU tu
 
Halafu tukisema hawa viumbe hawana akili hamsikii
 
Dah mpaka roho inatetemeka,enhe sasa ulivyorudi ilikuaje mkuu,unajua bado mkasa haujaisha huo.
 
INAENDELEA....!

Baada ya kuwasiliana na huyu jirani yangu tuliweza kupanga Namna na kuwanasa huku nikimshirikisha mdogo wangu ambaye yey alikuwa karbu.

Hazikupita hata siku nne wakawa wamerudi tena kwenye mchezo wao, jamaa alinipgia simu mida kama saa Saba hivi night, ikabid nimshtue mdogo wangu akachukua boda na washkaji wawili fasta mpka sehem ya tukio. Ikawa Haina haja ya kuita watu kuwanasa ukinzingatia Dem hakuwa mke halali Bali ni mtu Wang tu.

Kama masihara juhudi za kuwanasa zilifanikiwa, wakawapa kichapo pale ( japo niliwasisitiza wasiwadhuru ikawa msala wa kujichukulia Sheria mkonon).

Jamaa alijitetea kuwa manzi alimwambia lile getho ni la brother wake yupo nchi ya nje hivo amemwachia yeye kama mwangalizi.

Aise mwanamke ni kiumbe hatar san.
kwa Akili zako hizi wewe utagongewa sana maishani
 
Back
Top Bottom