khamis kilo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 1,137
- 1,380
Picha linaanza demu ni mfatiliaji sana wa mpira hasa ligi za ulaya 👺 hapo mzee tayari ushapigwa bao 1........nakojoa then narudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna viumbe hii dunia ni vilaza sijapata kuona.Akili zingine bana, getho langu afu nimuachie funguo mwingine mbn haiingii akilini
Hawa viumbe hatar aiseBalaa, huyo mwanamke ana ujasiri wa hali ya juu!
Nimekoma Mzee😥ukome babu
The way alivyo nahisi wew ungemwachia na Hela ya matumiziAkili zingine bana, getho langu afu nimuachie funguo mwingine mbn haiingii akilini
Hii story sehemu ya kwanza tu nilijua ni CHAI. Ila sehemu ya pili ndio imekuja kufanya niamini wala sio chai, ni maji tu yameinjikwa kwenye jiko lisilo na moto, ikatiwa majani na kushushwa tayari kwa kunywa..INAENDELEA....!
Baada ya kuwasiliana na huyu jirani yangu tuliweza kupanga Namna na kuwanasa huku nikimshirikisha mdogo wangu ambaye yey alikuwa karbu.
Hazikupita hata siku nne wakawa wamerudi tena kwenye mchezo wao, jamaa alinipgia simu mida kama saa Saba hivi night, ikabid nimshtue mdogo wangu akachukua boda na washkaji wawili fasta mpka sehem ya tukio. Ikawa Haina haja ya kuita watu kuwanasa ukinzingatia Dem hakuwa mke halali Bali ni mtu Wang tu.
Kama masihara juhudi za kuwanasa zilifanikiwa, wakawapa kichapo pale ( japo niliwasisitiza wasiwadhuru ikawa msala wa kujichukulia Sheria mkonon).
Jamaa alijitetea kuwa manzi alimwambia lile getho ni la brother wake yupo nchi ya nje hivo amemwachia yeye kama mwangalizi.
Aise mwanamke ni kiumbe hatar san.
Jina lenyewe unaitwa wakunyonya, itakuwa ni PAIPU tuINAENDELEA....!
Baada ya kuwasiliana na huyu jirani yangu tuliweza kupanga Namna na kuwanasa huku nikimshirikisha mdogo wangu ambaye yey alikuwa karbu.
Hazikupita hata siku nne wakawa wamerudi tena kwenye mchezo wao, jamaa alinipgia simu mida kama saa Saba hivi night, ikabid nimshtue mdogo wangu akachukua boda na washkaji wawili fasta mpka sehem ya tukio. Ikawa Haina haja ya kuita watu kuwanasa ukinzingatia Dem hakuwa mke halali Bali ni mtu Wang tu.
Kama masihara juhudi za kuwanasa zilifanikiwa, wakawapa kichapo pale ( japo niliwasisitiza wasiwadhuru ikawa msala wa kujichukulia Sheria mkonon).
Jamaa alijitetea kuwa manzi alimwambia lile getho ni la brother wake yupo nchi ya nje hivo amemwachia yeye kama mwangalizi.
Aise mwanamke ni kiumbe hatar san.
Mbona upo speed San Mzee, ungekuwa wakiume ningekujibu.Jina lenyewe unaitwa wakunyonya, itakuwa ni PAIPU tu
Wewe mwenyew ulijichanganya saaiv umeama umekumbia msalaUsiwaamini wanawake aiseee. Mi mwenyewe sijui kesho yangu sababu ya wanawake.
Iwekwe kwenye file hii kwa kumbukumbu ya umoja wetu.Kataa ndoa 🤗🤗🤗🤗🤗 tupewe maua yetu ðŸ¤
kwa Akili zako hizi wewe utagongewa sana maishaniINAENDELEA....!
Baada ya kuwasiliana na huyu jirani yangu tuliweza kupanga Namna na kuwanasa huku nikimshirikisha mdogo wangu ambaye yey alikuwa karbu.
Hazikupita hata siku nne wakawa wamerudi tena kwenye mchezo wao, jamaa alinipgia simu mida kama saa Saba hivi night, ikabid nimshtue mdogo wangu akachukua boda na washkaji wawili fasta mpka sehem ya tukio. Ikawa Haina haja ya kuita watu kuwanasa ukinzingatia Dem hakuwa mke halali Bali ni mtu Wang tu.
Kama masihara juhudi za kuwanasa zilifanikiwa, wakawapa kichapo pale ( japo niliwasisitiza wasiwadhuru ikawa msala wa kujichukulia Sheria mkonon).
Jamaa alijitetea kuwa manzi alimwambia lile getho ni la brother wake yupo nchi ya nje hivo amemwachia yeye kama mwangalizi.
Aise mwanamke ni kiumbe hatar san.
Sasa mbona hakuna ndoa hapo! Story inahusu tu vijana wawili wasiojielewa! Yaani wa kike na wa kiume. Na mbaya zaidi ina dalili zote za kuitwa ☕Kataa ndoa 🤗🤗🤗🤗🤗 tupewe maua yetu ðŸ¤
Nikajua anayezungumziwa hapa ni wewe, kumbe sio pole sana mkuuPole sana....tatizo hamkuoana na alishakuchoka akaamua kukudharau pia