Kuna wanawake wanajua kupika bhana, cheki hii

Umeoa au umeolewa?
 
Kongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano 😋😋😋

View attachment 2838429
Mke wangu alinipikia hivyo vichapati nikamfukuzia mbali, mwanaume anakula sima tena iliyokomaa, hiyo peleka Zenji kwenye legelege.
 
Nilipata mmoja namie mtoto anakatikia mashine yule balaa tena kwa mikao ya kila aina namuuliza huu utundu umeujulia wapi akanijibu kama huyo wa kwako mitandaoni huko
 
Wewe anakupikiaga kama cha wapi? Pili mke unaye?
Nina mke mzuri kweli,ananipikia kma tuko morogoro vijijini, haweki sources nyingi hvo kwenye vyakula,
Actually nakupa pongezi kupata mke wa hvo, safi sana, ww migahawa utasahau. Utakula nyumbani tu.
Mm nilipenda sana supu ya utumbo ya mgahawani, illa naipata ndani saiv.
 
Acha wivu mzee baba

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…