Nimeiona😃😃.. ila me nakupenda hivyohivyo😊😊Doohhh!!! Leejay49 usisome hii.. oya Intelligent businessman we bila shaka umenunua file langu. Am burned🤔🤔
😊😊 utasababisha mtu akajinyonge tupate kesi 😆Nimeiona😃😃.. ila me nakupenda hivyohivyo😊😊
Sio shida zetu🤗🤗😊😊 utasababisha mtu akajinyonge tupate kesi 😆
Dogo unaweza kupika kama hivo?😃😃Nilistuka nilivyoona tittle nikajua unapigwa na mkeo
Mzee dada zako chenga ,hiyo sio Al 😅Hiyo picha ni AI
Broo Ivan Stepanov nime cheka kifala😂😆😆🤣,Doohhh!!! Leejay49 usisome hii.. oya Intelligent businessman we bila shaka umenunua file langu. Am burned🤔🤔
Naweza ndyo 😃😃Dogo unaweza kupika kama hivo?😃😃
Vzr sana dogo,utakuja unipikie sikumojaNaweza ndyo 😃😃
Sawasawa 🤝Vzr sana dogo,utakuja unipikie sikumoja
Aisee usicheke.we jamaa unanifanyia ujasusi nishakugunduaBroo Ivan Stepanov nime cheka kifala😂😆😆🤣,
Mkuu,Kongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano 😋😋😋
View attachment 2838429
AI inaleta balaa mtaani.
Kila mtu anabuni anachokipenda na kusema ni vitu halisi vinavyoishi,kibongo bongo chakula kama hicho ili mke akipike anatakiwa ndani ya 4hrs asiwe na kazi ya kufanya otherwise atapika sikukuu tu na tena kuwe na wageni.
Kaka mi jobless wa kimataifa 😂🤣Aisee usicheke.we jamaa unanifanyia ujasusi nishakugundua
kabisaaPongezi kwenu pia wanaume mnaowezesha wake zenu kuwapikia hivo.
Lazima budget iwe nzuri na Jiko liwe zuri pia.
Nilikua nakaa na mwanamke mwarabu, anapika visivyopikika.Kupitia huu uzi ni rahisi sana kubashiri maisha ya mleta mada,
Upo sahihi kabisa Mkuu,hakuna cha ajabu hapo.