Hahahahahaha ila kweli... Sema nikikumbuka vile vibao alivyokuwa anapigwaaaaa naishiwa poziiiiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yule sio kwamba anapenda mseleleko, maisha yalimchapa na dharau zikazidi akaona isiwe kesi. Ndio nikajua hakuna kitu inamuuma mwanaume kama kusaidiwa majukumu na mwanaume mwenzie[emoji1787]
Viwango VYA juu kwenye nini ?The best two Tv show zenye viwango vya juu kabisa duniani mpaka sasa hivi ni mbili tu GOT na Breaking Bad. Zingine zote ni porojo tu.
Hii series ni balaa na nusu, mimi nishaiangalia mara nyingi na bado siichokiMm naomba adriz aje kuthibitisha hili
Yni upo kama mimi Jumong natamani niirudie kila wakati
Haemosu,Jumong,Yuri,hype bo,Daeso,lady soseono,lady divine mauryung
Goguryeo,Buyeo aaahh we acha tu Jumong the best
Na A Man called god niliitafuta baada ya kujua Jumong ndo mhusika mkuu
The land of wind nayo ilikuwa si mchezo, unaangalia hadi unaburudikaJumong ni series ambayo kama kijana utajifunza Kila kitu Maisha, mapenzi ya dhati, uvumilivu,maumivu, subra,utulivu, unyenyekevu, UZALENDO,heshima, Nidhamu,akili, maarifa, busara, Uongozi, VITA, usaliti,
Ni series imeshiba.....
Mwendezo wake THE LAND OF WIND
Yeah! hichi chuma kinaanza kimepooza sana lkn episode za mbele ni moto sana yani.best series of all time.... usinibishie kabla hujaiangalia....
View attachment 2603040
😆Watu wengi hawajui movie, hawana uelewa mpana kuchambua movie, wameangalia movie chache, wanatafsiriwa movie, ni bendera fata upepo.
🤣🤣🤣🤣Kamba za kihuni mno alafu kuna watu wanazililia kabisa.
Empress KiWalijitahidi jamaa.
Tafuta
1. Empress ki
2. Crush landing on you.
Hzo 2 ndo my best
🤣🤣🤣 Uzuri hawaongei haraka haraka, unapata hata muda wa kusoma subtitlesKorean drama wapo less sana....kimsingi wamevurugwa kinyama....sijawahi vutiwa nao....halafu...inaniboa zaidi kukomaa na sub muda wote utadhani nasoma kitabu kumbe naangalia motion pictures....!
Utata hapaView attachment 2603270
Relationship ya hawa jamaa mliielewaje? Haikua ya 🏳️🌈kweli?!
Hamna ukweli hapaThe best two Tv show zenye viwango vya juu kabisa duniani mpaka sasa hivi ni mbili tu GOT na Breaking Bad. Zingine zote ni porojo tu.
Sasa iyo GoT na Breaking Bad cjawahi ikuta kwa washikaji wote na Wahuni naona unatumia kichwa cha chini amka akili zikukae sawaThe best two Tv show zenye viwango vya juu kabisa duniani mpaka sasa hivi ni mbili tu GOT na Breaking Bad. Zingine zote ni porojo tu.
Inaitwaje hiiBang Ji mapenzi yalimharibu, Lee Bang Won alipotaka kumuua Sambong alimtumia Yeon Hui. Bang Ji alikuwa body guard wa Sambong ila alipodanganywa na Mu Hyul alimuacha Sambong na kumuwahi Yeon Hui ambaye naye aliishia kuuawa.
hahahh hii ngoma kuna binti mmoja aliwashauri hiyo familia ya wakamaria eti wakafuge kuku kijijini waachane na ukamaria mamuzi yaliyotolewa sasa ,sema wanakula fegi vibaya mnowanaume tukutane hapa....
View attachment 2603045
Six flying dragonsInaitwaje hii
Mbali na Netflix mnazipatia wapi, cz Sina pesa ya kulipia Netflix