Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Warrior Baek donsooKuna series flan mshkaji anapiga panga balaa then atakuja kukatw mkono mmoja sword Saint
Dah mm kwa sasa najiona sina muda tena wa kuangalia series nahisi izo nilizoangalia zishanitosha mm ata Tv tu siangalii.Naangalia Mpira tu tena mara chache sanaa ila taarifa nyingi nazipata hapa Jf kwaio kwasasa sina muda na Tv kabisaaMimi Jumong nimeitazama zaidi ya mara 4 ,na kila nikitazama naona kama muvi mpya yaani kuna vitu nagundua ambavyo siku vijua kabisa zamani ,ni muvi yenye akili mnonna mafunzo mengi sana.
Mimi series zangu kama nilitaka kuangalia ni Korea tu tena za zamani kijijini kuhusu historia na ufamle wazungu na wahindi kipindi hiko mdogo sana.Huyu jamaa ana movie yake nyingine ;
*Jang yeong-sill - ya kijijini imebase kuhusu mambo ya sayansi ila ni nzuri mno hiyo series ni shule tosha, japo imebase kwenye sayansi lakini wamebalance na kuingizie maudhui ya uongozi na chama za kiutawala ,ushupavu nk
*Emperor of the Sea - Hii nayo ya kijijini Star wa Jumong humo kama adui hii movie kwangu mimi badala ya Jumong hii ndio ya pili kwa ubora bado kidogo tu niseme hii ndio bora ya muda wote.Humo kuna shule kubwa ya kutokata tamaa ,nidhamu ,uaminifu nk.
Nakusanya data nikipata wasaa nitaandaa uzi maalaumu kwa ajili ya hiyo series ya Jumong pekee kukiwa na uchambuzi wa kina wa nyuma ya pazia kuhusu kila kitu.View attachment 2603386
Yah nmeikumbuka Kuna dogo ni traiter anachinja vibaya mno yan Hana huruma🔥🔥Warrior Baek donsoo
Basi series ya breaking bad ndio series bora kuwahi kutengenezwaSiyo Season, ni SERIES
Yoo seung ho...niliipenda sana ile character yake yaani dogo aliipatia sana[emoji119]Yah nmeikumbuka Kuna dogo ni traiter anachinja vibaya mno yan Hana huruma[emoji91][emoji91]
Series mpaka unajihisi upo serengeti mbugani unacheza na wajane wa Bob JuniorSeries za mafarasi na mikuki ,sjui mishale na mapanga huwez nikalisha nikapoteza mda , nahtaji technological spy series
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Muvi za kukimbizana na magari sio mpenzi nazo wakorea wanastori nzuri hasa mambo ya siasa, fitina na usaliti kwa sababu ya madaraka huwa najifunza mengi
South Korea but nzuri mnoooNi ya Magharibi ama mashariki
VagabondSifagilii series zenye mapanga mara mafarasi,. Hunikalishi hata kwa mtutu
napenda za kutumia akili sana, yaani game za kiakili kabisa sio mamilio ya mafarasi tu. Naombeni majina nizitafute
Ni moto 🔥🔥Hii nimeitazama mkuu, niliikubali pia. Imesukwa sana hii
Hujui vizuri kumbe 🤣Sifagilii series zenye mapanga mara mafarasi,. Hunikalishi hata kwa mtutu
napenda za kutumia akili sana, yaani game za kiakili kabisa sio mamilio ya mafarasi tu. Naombeni majina nizitafute
KigongoWarriors baek dong sooView attachment 2603534
🤣🤣🤣🤣Series mpaka unajihisi upo serengeti mbugani unacheza na wajane wa Bob Junior
OST zao pia nazipenda sana na nyingine zinanifanya kuwa emotional naishia kulia huh!Nilikuwa nshasahau kama avatar yangu nimeweka wazee wa slave hunter.
Napenda OST zao sana macomposer wametulia sana. Halafu kumbe composer wa ost anachukuliwa kama movie director pia
Jamani 🤣OST zao pia nazipenda sana na nyingine zinanifanya kuwa emotional naishia kulia huh!
OST ndicho kitu kinachonifanya nipende scenes na nikumbuke events fulani. Jumong track 7 nnayo kwenye simu, gradiator ninayo now we are free, spartacus ninayo ile theme ya sura, guang's family nnayo hii hizi violin zinacapture sana emotions zanguOST zao pia nazipenda sana na nyingine zinanifanya kuwa emotional naishia kulia huh!
Kwa kweli Jumong ndo movie yangu nambari moja duniani. Yaaan sijawahi kuchoka kuiangalia. Movie hii ilinifanya niipende nchi ya korea nipende product zake. Imefika hatua hata nikienda kununua nguo za mtumba ki ukweli naangalia imetengenezwa wapi,,nikikuta korea naibeba. Na niliweka ahadi Mungu akinipa uzima siku moja nitaenda kutembea korea. KhaaaaaKuna Jumong na A man called god zote ni korean, mtaalamu akiwa Song il gook, a.k.a Jumong
Jamani tuacheni maskhara, kwa upande wangu, movie/series zitakuja na kuondoka, hizi mbili ni mwisho
pongezi kwa wote waliofanikisha hizi series (directors, actors, etc), wamefanya kazi kubwa sana
kwa ambao washawahi ziona hizi series watakubaliana na mimi
______________________
jumong ni jina la mhusika mkuu katika tamthilia ya Kikorea ya Jumong ambayo ni moja ya tamthilia maarufu sana nchini Korea na ulimwengu kwa ujumla.
Tamthilia hii ilikuwa inahusu maisha ya Jumong, kiongozi wa kikabila wa kihistoria wa kundi la Wajoseon, ambaye aliishi katika karne ya tano KK. Jumong alikuwa shujaa wa vita na alipigana kwa ajili ya kujenga ufalme wake na kutetea watu wake. Tamthilia hii ilikuwa maarufu sana na ilipata umaarufu mkubwa katika nchi nyingi duniani kote kutokana na hadithi yake ya kuvutia na uigizaji mzuri.
View attachment 2603333
______________________
______________________
A Man Called god ni tamthilia ya Korea Kusini ambayo ilikuwa inahusu maisha ya Michael King, mtu wa kawaida ambaye alijikuta akihusika katika vita vya kisiri vya kimataifa baada ya kugundua siri ya familia yake. Baada ya kuwa na kifo cha ghafla cha baba yake, Michael King anajiweka katika safari ya kutafuta ukweli kuhusu familia yake na anajikuta akikabiliana na wapinzani wenye nguvu na hatari. Kupitia safari yake, Michael anapata ujuzi wa kupigana na kujifunza sanaa ya kijeshi na kuwa shujaa wa vita.
Tamthilia hii ilikuwa na mandhari ya kimataifa, na ilikuwa na ujumbe wa upendo, ujasiri na uaminifu. Ilipata umaarufu mkubwa nchini Korea Kusini na katika nchi nyingine za Asia, hasa kutokana na uigizaji mzuri na hadithi yenye kusisimua. Hata hivyo, tamthilia hii ilikuwa na baadhi ya matukio ya vurugu na maonyesho ya nguvu ambayo yanaweza kuwa sio ya kila mtu.
View attachment 2603335
KupakuaUnataka kupakua au ku stream tu?