Kuna Watu hawafai jamani: Waliokaa chini wakatengeneza hizi Series nitawaheshimu siku zote

Sifagilii series zenye mapanga mara mafarasi,. Hunikalishi hata kwa mtutu

napenda za kutumia akili sana, yaani game za kiakili kabisa sio mamilio ya mafarasi tu. Naombeni majina nizitafute
 
Dah mm kwa sasa najiona sina muda tena wa kuangalia series nahisi izo nilizoangalia zishanitosha mm ata Tv tu siangalii.Naangalia Mpira tu tena mara chache sanaa ila taarifa nyingi nazipata hapa Jf kwaio kwasasa sina muda na Tv kabisaa

Hua napenda niperuzi Jf au kusoma
 
Muvi za kukimbizana na magari sio mpenzi nazo wakorea wanastori nzuri hasa mambo ya siasa, fitina na usaliti kwa sababu ya madaraka huwa najifunza mengi
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
OST zao pia nazipenda sana na nyingine zinanifanya kuwa emotional naishia kulia huh!
OST ndicho kitu kinachonifanya nipende scenes na nikumbuke events fulani. Jumong track 7 nnayo kwenye simu, gradiator ninayo now we are free, spartacus ninayo ile theme ya sura, guang's family nnayo hii hizi violin zinacapture sana emotions zangu
 

Attachments

Kwa kweli Jumong ndo movie yangu nambari moja duniani. Yaaan sijawahi kuchoka kuiangalia. Movie hii ilinifanya niipende nchi ya korea nipende product zake. Imefika hatua hata nikienda kununua nguo za mtumba ki ukweli naangalia imetengenezwa wapi,,nikikuta korea naibeba. Na niliweka ahadi Mungu akinipa uzima siku moja nitaenda kutembea korea. Khaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…