Kuna Watu hawafai jamani: Waliokaa chini wakatengeneza hizi Series nitawaheshimu siku zote

Anamuomba at least ajue ameuwawa na nani
 
My love from another star ina most nzuri balaa, ikifuatia na chuno na pia za kwenye city hunter sio mbaya pia
 
Series ni INTO THE BAD LAND
LEGEND OF THE SEEKER

kwangu ndio babkubwa hakuna Korean
 
Dah,

Umenikumbusha aisee.

Kwenye jumong bana umenikumbusha Prince Taesso na na Prince Youngpo. Jamaa walikua hawampendi Jumong wakamfanyia kila aina ya vitimbi vya kutosha tu ila mwishoni aliwadhibiti.

Wapi chawa wa Jumong Oi, Mari na Hyoppo. Vibaka wa mtaani waliokuja kugeuka kua mawaziri kwe serikali ya Jumong.

Na mwisho ni swahiba wangu na rafiki yangu wa damu kabisa Cha Pombe Mo Palmo, mtaalam wa kutengeneza Silaha. Huyu loyalty yake kwa Jumong ni undoubted.

Hii series pamoja na kua na episodes za kutosha lakini niliiangalia kwa kuirudia zaidi ya mara tatu. Mwanzoni nilikubali mateso ya ITV niwe nakaa macho mpaka saa tano za usiku ilivyotoka.

Ila baadae alosto yake ilivyozidi nikaja kuzikuta zinauzwa kariakoo unanunua DVD moja ina episodes kama 10 hivi nikairudia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…