Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
- Thread starter
- #161
Hainahiyo ya a man called god haina mambo ya uchawi uchawi au nguvu (super natural powers)?
Story imetulia sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hainahiyo ya a man called god haina mambo ya uchawi uchawi au nguvu (super natural powers)?
Ni hobbyHuwa mnawezaje kukaa na kuangalia movie na series wadau mbona mimi nimeshindwa kabisa nashindwa mi tofauti na michezo maigizo siwezi.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
aaaaaah! Nilikuwa nina mpango nije niiangalie but nimeghairiHaina
A man called god mm ndo naipendaJumong,
A man called God
IRIS
Wakorea movie zao ilikuwa kuona tu kiss scene shughuli, ila tangu netflix atie timu, yamekuwa kawaida nowdaysUmesema kweli...hasa hizi za Netflix zina umagharibi mwingi na ile ladha kikorea inapungua. Ndio ujue tatizo sio lugha ni kwamba tunaopenda kdrama tumejikuta tu tunavutiwa na Korean culture
ila 'city hunter' nisidanganye ilikua kali aisee.... 😂Umesema kweli...hasa hizi za Netflix zina umagharibi mwingi na ile ladha kikorea inapungua. Ndio ujue tatizo sio lugha ni kwamba tunaopenda kdrama tumejikuta tu tunavutiwa na Korean culture
Duh 🤣aaaaaah! Nilikuwa nina mpango nije niiangalie but nimeghairi
Dah! hizo za kawaida hivyo huwa haziniingii kabisaHaina
Story imetulia sana
ndo uanaume😂Wakorea movie zao ilikuwa kuona tu kiss scene shughuli, ila yangu netflix atie timu, yamekuwa kawaida nowdays
Dah! hizo za kawaida hivyo huwa haziniingii kabisaHaina
Story imetulia sana
Dong yi!Series za mafarasi na mikuki ,sjui mishale na mapanga huwez nikalisha nikapoteza mda , nahtaji technological spy series
You spoke for the majority. Me per seSeries za mafarasi na mikuki ,sjui mishale na mapanga huwez nikalisha nikapoteza mda , nahtaji technological spy series
Hii inazidiwa na a man called god 🤣ila 'city hunter' nisidanganye ilikua kali aisee.... 😂
View attachment 2603032
Sasa hivi scene za kunyanduana kibaoWakorea movie zao ilikuwa kuona tu kiss scene shughuli, ila tangu netflix atie timu, yamekuwa kawaida nowdays
wanafuata hela ilipo.... sisi hatununui tunaziiba mtandaoniUmesema kweli...hasa hizi za Netflix zina umagharibi mwingi na ile ladha kikorea inapungua. Ndio ujue tatizo sio lugha ni kwamba tunaopenda kdrama tumejikuta tu tunavutiwa na Korean culture
Na sijui kama wana mpango wa kuirudisha tenaVagabond nayo ni nzuri though ni ya 2019
Mkono wa netflix huo 🤣🤣, huko spain ndo balaaSasa hivi scene za kunyanduana kibao
Siifahamu mara ya mwisho nimetazama series za kikorea 2016 baada ya hapo naona series zao wanaigiza vituko. Comedy zao za kitoto toto hata hazichekeshi. Nikaachana nao nikahamia kwenye Anime za wajapan. Wajapan wapo vizuri sanaaa basi tu hawana AirtimeVagabond nayo ni nzuri though ni ya 2019
Sawa mkuuDah! hizo za kawaida hivyo huwa haziniingii kabisa
acha umama bro 😂Mkono wa netflix huo 🤣🤣, huko spain ndo balaa
Movie zao ukiangalia hata ukiwa peke yako tu unaona aibu