Kuna watu hawana hela wanajenga, kuna watu tuna hela ila hatujengi

Kuna watu hawana hela wanajenga, kuna watu tuna hela ila hatujengi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Nahisi shida ni moja tu sisi wenye hela tunatamani kujenga kumpita fulani wakati asiye na hela hawazi anajenga vyovyote, anakwenda kisebule na chumba na kistoo na choo kisha anakuja kukupangisha wewe mwenye hela zako; unampa hela anaenda kununua tena kiwanja anajenga nyingine safari.

2023 tujengeni, ukiona unashindwa ya block tafuta ya kuchoma bei yake 50 kila tofali yaani tofali 12000 unatumia laki 6 tu. Tafuta fundi wa kulekule kijijini zisafirishe zilete mjini jenga.

Mbona wazungu wanazipenda hizo tofali za kuchoma?
 
tatizo ni kwamba mkikutana na wehu kwenye hizo bar mnazoenda wanawajaza ujinga wanawaambia kujenga ni uoga wa maisha na mlivyo na akili visoda mnawaskiliza

Kumbe wenzenu wanajua wanapochuma ela na nyumba wanazokaa ni za urithi. Influence mbaya itawapoteza vijana wengi anakuja kustuka na kujenga kwa ela ya kustaafu kazi kusumbua tu watoto
 
Ndio hivyo mdogomdog na Mimi nimeamua kuanza mwaka mpya Kwa kuanza ujenzi wa kirental apartment kingine, Jana nimemaliza msingi wa Chumba sebuleni choo jiko,
Nataka nivipange kama 20 hapo nakaribia cha 10.
Mchanga nimeletewa na vimfuko usiku jamaa wanafanya kuchimba mtoni Kwa kuiba mmetumia kama 30k Kwa mchanga na bado umebaki
IMG20230104182720.jpg
IMG20230104182713.jpg
 
Ndio hivyo mdogomdog na Mimi nimeamua kuanza mwaka mpya Kwa kuanza ujenzi wa kirental apartment kingine, Jana nimemaliza msingi wa Chumba sebuleni choo jiko,
Nataka nivipange kama 20 hapo nakaribia cha 10.
Mchanga nimeletewa na vimfuko usiku jamaa wanafanya kuchimba mtoni Kwa kuiba mmetumia kama 30k Kwa mchanga na bado umebaki
View attachment 2469768View attachment 2469769

Nikikuchukulia hatua utasemaje?
 
Back
Top Bottom