Kuna watu hawana hela wanajenga, kuna watu tuna hela ila hatujengi

Kuna watu hawana hela wanajenga, kuna watu tuna hela ila hatujengi

Inategemea na pesa zako unazipataje. Kama wewe ni mwajiriwa, anza kujenga. Lakini kuna sisi mishen town. Nina elfu10 leo, nataka kufikia december iwe imeshakuwa milion, halafu decembe nyingine iwe ishafika milion 7, suala la kujenga huwa hatulipi periority.

Naibembeleza pesa yangu ili angalau ndani ya miaka mitano kumi nami niwe pahala, niwe mtu katika watu, angalau niwe financially free. Najivuta. Pesa naitoa kwenye milioni 1 hadi naifikisha M50, ndo kwanza naingia barabara kuu ya kufukuzia ndoto zangu unaniambia eti nichukue hiyo M50 yangu nijenge nyumba?!😅😅 wakati kunanyumba kibao za kupanga mjini. M3 kwa mwaka napata nyumba nzuri tuu naishi.

I encourage you young fellows, kama uko na dream unafukuzia, do not be enterupted na hii kujenga thing. Kunawakati tuu ukishafika unakotarget, pesa itakuruhusu kujenga tena bila kusua sua na wala huyumbi kiuchumi.
 
Mwaka unapoanza huwa tuna malengo mazuri sana,sasa ngoja ichanganye hapo mwezi wa sita hadi 12 ni kumwagilia moyo tu [emoji276]kitu kimoja nilichogundua ni kwamba malengo ya mwaka 2023 ilibidi uwe umeshafanya maandalizi japo kwa asilimia 50 ili utimize mwaka huu 2023
 
Inategemea na pesa zako unazipataje. Kama wewe ni mwajiriwa, anza kujenga. Lakini kuna sisi mishen town. Nina elfu10 leo, nataka kufikia december iwe imeshakuwa milion, halafu decembe nyingine iwe ishafika milion 7, suala la kujenga huwa hatulipi periority.

Naibembeleza pesa yangu ili angalau ndani ya miaka mitano kumi nami niwe pahala, niwe mtu katika watu, angalau niwe financially free. Najivuta. Pesa naitoa kwenye milioni 1 hadi naifikisha M50, ndo kwanza naingia barabara kuu ya kufukuzia ndoto zangu unaniambia eti nichukue hiyo M50 yangu nijenge nyumba?![emoji28][emoji28] wakati kunanyumba kibao za kupanga mjini. M3 kwa mwaka napata nyumba nzuri tuu naishi.

I encourage you young fellows, kama uko na dream unafukuzia, do not be enterupted na hii kujenga thing. Kunawakati tuu ukishafika unakotarget, pesa itakuruhusu kujenga tena bila kusua sua na wala huyumbi kiuchumi.

Umesema kweli kwa sisi wafanye biashara kutoa pesa kujenga nyumba ya kuishi tunaona tunarudi nyuma kabisa ila kama umeshafanya biashara kwa muda mrefu utakubaliana na mimi kuna kipindi biashara zinayumba hadi unakatika mtaji wote unaanza tena kuunga unga hapo ndio mawazo yanakuja bora ningejenga ningeuza mjengo faster nirudi tena barabarani
 
Nimekwa hapa
IMG-20221006-WA0006.jpg
 
Nahisi shida ni moja tu sisi wenye hela tunatamani kujenga kumpita fulani wakati asiye na hela hawazi anajenga vyovyote, anakwenda kisebule na chumba na kistoo na choo kisha anakuja kukupangisha wewe mwenye hela zako; unampa hela anaenda kununua tena kiwanja anajenga nyingine safari.

2023 tujengeni, ukiona unashindwa ya block tafuta ya kuchoma bei yake 50 kila tofali yaani tofali 12000 unatumia laki 6 tu. Tafuta fundi wa kulekule kijijini zisafirishe zilete mjini jenga.

Mbona wazungu wanazipenda hizo tofali za kuchoma?
Ndugu yangu Ndege....sisi ni wale watu ambao tunaamini kujenga njiani ni hasara! Kila siku tunahubiliwa kwamba duniani tunapita. Sasa nitajenga vipi njiani!!??
Mimi nakaa bar nakula mayii huku nikisubiri transport. Acha uoga
 
Inategemea na pesa zako unazipataje. Kama wewe ni mwajiriwa, anza kujenga. Lakini kuna sisi mishen town. Nina elfu10 leo, nataka kufikia december iwe imeshakuwa milion, halafu decembe nyingine iwe ishafika milion 7, suala la kujenga huwa hatulipi periority.

Naibembeleza pesa yangu ili angalau ndani ya miaka mitano kumi nami niwe pahala, niwe mtu katika watu, angalau niwe financially free. Najivuta. Pesa naitoa kwenye milioni 1 hadi naifikisha M50, ndo kwanza naingia barabara kuu ya kufukuzia ndoto zangu unaniambia eti nichukue hiyo M50 yangu nijenge nyumba?!😅😅 wakati kunanyumba kibao za kupanga mjini. M3 kwa mwaka napata nyumba nzuri tuu naishi.

I encourage you young fellows, kama uko na dream unafukuzia, do not be enterupted na hii kujenga thing. Kunawakati tuu ukishafika unakotarget, pesa itakuruhusu kujenga tena bila kusua sua na wala huyumbi kiuchumi.
Bro naomba tuiweke hii katika audio ili vijana tufike kwa pamoja, coz the rich invest first and buy luxuries later
 
Ndio hivyo mdogomdog na Mimi nimeamua kuanza mwaka mpya Kwa kuanza ujenzi wa kirental apartment kingine, Jana nimemaliza msingi wa Chumba sebuleni choo jiko,
Nataka nivipange kama 20 hapo nakaribia cha 10.
Mchanga nimeletewa na vimfuko usiku jamaa wanafanya kuchimba mtoni Kwa kuiba mmetumia kama 30k Kwa mchanga na bado umebaki
View attachment 2469768View attachment 2469769
Unajenga kimaskini Sana tafuta hela ya pamoja ujenge kistarehe ,alisikika mlevi mmoja akiropoka
 
Umesema kweli kwa sisi wafanye biashara kutoa pesa kujenga nyumba ya kuishi tunaona tunarudi nyuma kabisa ila kama umeshafanya biashara kwa muda mrefu utakubaliana na mimi kuna kipindi biashara zinayumba hadi unakatika mtaji wote unaanza tena kuunga unga hapo ndio mawazo yanakuja bora ningejenga ningeuza mjengo faster nirudi tena barabarani
Mentality yangu uwa inaniambia bora Nikatike mtaji nikiwa katika harakati za kuukuza, kuliko niuchote, nikajenge nyumba, nifirisike ndo nirudi kuiuza nyumba au niichukulie mkopo eti niinuke tena.

uKianza biashara na ukaona inakuendea viziri iache iflow mpaka pale itakapo kiruhusu yenyewe kufanya something else. Sio biashara inaflow unachota mtaji unakwenda kujenga nyumba ili sijui uachane na kero za upangaji halafu ufirisike uiuze ile nyumba ujikwamue😅. Kwanza katika mazingira hayo nyumba utaiuza kwa bei ya kutupa. Unachezea stress za kufirisika wewe!. Pesa unaileta kwenye biashara, biashata inakutaka uanze tena hatua kadhaa nyuma. Akili yako nayo haitaki uanzie nyuma, inataka uanzie palepale ulipokuwa umefika kabla ya kufirisika. Unakuwa mtu wa stress na matumizi tuu sasa hadi hela ya nyumba nayo inaisha. Msongo wa mawazo, mara presha unakufa🤣🤣🤣🤣
 
ukijua kupiga hesabu mfano
kuweka kila siku 3000 x30= 90000 unapata mifuko mingapi.!
basi utaweza kujua kujenga.
Kujenga kunataka hesabu hata kama unauza nyanya.

ili mradi kuthamini kipato chako kwa kidogo.alafu nyumba unaweza kujenga ukahamia na bado ukawa unaendeleza kuiboresha
 
Ndio hivyo mdogomdog na Mimi nimeamua kuanza mwaka mpya Kwa kuanza ujenzi wa kirental apartment kingine, Jana nimemaliza msingi wa Chumba sebuleni choo jiko,
Nataka nivipange kama 20 hapo nakaribia cha 10.
Mchanga nimeletewa na vimfuko usiku jamaa wanafanya kuchimba mtoni Kwa kuiba mmetumia kama 30k Kwa mchanga na bado umebaki
View attachment 2469768View attachment 2469769

Kaza mkuu, hata mimi nataka nikaze kibishi namna hii angalau niwe na kakibanda kangu na mimi
 
Back
Top Bottom