Kuna watu hufa mara mbili


Sasa kama ni hivyo zinaponyanyuka si zingenyanyuka moja kwa moja na kurudia uhai wake?
 
Dah kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa giza,
Mi sipati picha ni namna gani maiti inaamka na kusimama! .inaamka kama kawaida kwa kujisaidia na mikono na miguu? au inaamka kwa style ya Roboti? Na kwanini uitandike mateke kama mshehereshaji alivyosema!
 
Sasa kama ni hivyo zinaponyanyuka si zingenyanyuka moja kwa moja na kurudia uhai wake?


Kuna baadhi ya vitu maelezo yanaweza yasitosheleze hadi mpaka practical, inaweza kuwa ngumu kidogo kuingia mochwari kutokana na taratibu za kazi lakini kama hamtojali tunaweza kufanya ziara makaburini siku moja usiku kwa udhamini wangu
 
Kuna baadhi ya vitu maelezo yanaweza yasitosheleze hadi mpaka practical, inaweza kuwa ngumu kidogo kuingia mochwari kutokana na taratibu za kazi lakini kama hamtojali tunaweza kufanya ziara makaburini siku moja usiku kwa udhamini wangu

Weeee koma ndoto tu zinanitosha ujasiri najifunza ila sitaki ufikie huko
 
Msha nipo tangia kitambo humu nagema hekima zako tu mpwa,vip andaa kitabu basi tufaidi zizuri
 
Hahahahaaaaaaa loh
mshana jr unajua haya mambo ya third eye yanatesa sana nashukuru nilishafanikiwa kutoka na uoga wa asili wa kibinaadamu umenirejea.
Sasa sitaki tena nifanye kitu kitakachonirejesha nyuma.
 
Last edited by a moderator:
mshana jr unajua haya mambo ya third eye yanatesa sana nashukuru nilishafanikiwa kutoka na uoga wa asili wa kibinaadamu umenirejea.
Sasa sitaki tena nifanye kitu kitakachonirejesha nyuma.

Acha woga.
 
Last edited by a moderator:
Kuna baadhi ya vitu maelezo yanaweza yasitosheleze hadi mpaka practical, inaweza kuwa ngumu kidogo kuingia mochwari kutokana na taratibu za kazi lakini kama hamtojali tunaweza kufanya ziara makaburini siku moja usiku kwa udhamini wangu

Hiyo itakuwaje, tunaenda kama wachawi naked, au kama watafiti na tochi zetu na Camera full kuandaa documentary…? details dude
 
Kuna baadhi ya vitu maelezo yanaweza yasitosheleze hadi mpaka practical, inaweza kuwa ngumu kidogo kuingia mochwari kutokana na taratibu za kazi lakini kama hamtojali tunaweza kufanya ziara makaburini siku moja usiku kwa udhamini wangu

Hapa labda mniletee greda la Konoike lije linibebe....
 

Ha ha ha haaaaaaaaa ktk comments zote nilizozipitia hii yako ndio kiboko imenivunja mbavu lol
 
Last edited by a moderator:
Mi niliwah kwenda makaburin na mama yangu,Kuna kaburi la kaka yake tulienda kusafisha ,Mara ghafla niliona vitu kama hewa inatoka kwenye kaburi la mjomba vinapaa angani baadae nikawa naona watu wamevaa nguo nyeupe wamesimama na wengine wamevaa nguo nyeusi wanagalagala chini ,yaan vile vitu naona juu juu ya anga,nikawa namuonyesha mama ,mama haoni nikawa namuelezea na muonyesha na kidole haoniii,,akaniambia tuondoke harakaa,
Sikuelewa mpaka Leo ni ninio
 

Zilikuwa ni roho na hao weupe walikuwa ni wema na hao wengine hawakuwa wema na walikuwa wanaadhibiwa
 
Ila mochwari kunavituko sana halafu wale jamaa wa mle wanavuta bangi sana napombe ndomana akilizao haziko sawa tuliwahi kufata mwili wa jamaayetu mmoja tukakuta mlinzi wa mle anakunywa chai akiwa humokwenyechumba cha kuhifadhia maiti alipo funua friji ili tumwangalie mtu wetu kama niyeye chaajabu tulikuta ametunza papai kwenyefriji za kuhifazia maiti sasa nikajiuliza lile papai amelitunza ili badae ale au?yani hao jamaa walishabakiza akili za kuvalia nguo na kuvukia barabara

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…