Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
uhai hautoki mara mbili mkuu mshana jr,uhai ni mara moja tu.ukiona mtu katika hali hiyo ujue kuna mawili,
1.alikuwa bado hajafa,alikuwa deep unconscious kiasi kwamba hata dr aliyempima hakuweza kutambua hilo.
2.ts bcoz of supernatural powers,i mean ni muujiza tu na kutoka kwa Mungu tu ndo anaouwezo kwa kurudisha uhai
Sasa kama ni hivyo zinaponyanyuka si zingenyanyuka moja kwa moja na kurudia uhai wake?