Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Mkuu mbona ni story aka porojo tupu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh hili la kupigwa hapana sijawahi kusikia, kwakuwa maiti ni kitu kinachoheshimiwa mno
Mimi nimewahi kusikia ilitokea ni baada ya kila gari iliyotumika kusafirishia maiti husika kupata tatizo lililosababisha gari isiendelee. Watu wakaamua kubeba maiti lakini kilichotokea maiti ikawa nzito hutembei hatua tano unaomba msaada mwingine aje kusaidia. Akatokea mmoja kwenye msafara akaomba sanduku lifunguliwe akaichapa vibao maiti huku anaigombeza. Baada ya zoezi hilo yaani kama wamebeba mwanzi.
Nimesoma uzi huu from A to Z. Kuna vitu vingi binadamu hatuvijui, na tunaoamini katika Mungu tunajua Mungu kazuia tusivijue ili tusiwe na hofu ya maisha yetu na tuzidi kuwa na amani...
Mkuu@Mshana Jr thnx kwa hii...Nimechelewa kuiona nadhana wakati inawekwa humu ndio Joto lakuadabisha maCCM lilikuwa juu kiasi kwamba majukwaa mengine nilikuwa napita....Mkuu nimekuwa nikifatilia mada zako binafsi nimejua mengi....Inaonekana pia umefanya utafiti wa kutosha khs haya...
Plz hebu nami niite kule kwenye mada uliyosema...nikaangalie huko....
Mkuu mshana Jr ni eneo gani au kijiji gani hapa Tanzania wanapatikana wachawi wa kitabu, na je ni uchawi upi mkali kati ya kitabu na huo wa majini?
Uchawi wa majini ndio unasemekana kuwa ndio kiboko lakini hii taaluma ni pana sana na haina takwimu za moja kwa moja hivyo kuwa ngumu kwa hakika kujua
Mara nyingi maeneo ya pwani au yaliko maziwa na mito mikubwa ndio husifika sana kwa ndumba na ulozi
Kabla hajafariki aliagiza asisafirishwe kwenda kuzikwa kwao. Azikwe pale pale alipokuwa anafanyia kazi. Huyo aliyemchapa makofi hakumjua ila walikuwa wanafanyia kazi kada moja japo mikoa tofauti.Duu basi marehemu alikuwa mkorofi sana, na kwa vyovyote huyo aliyemzaba vibao ni mtu mwenye mamlaka naye