Katika uumbaji Mwenyezi Mungu kamficha mwanadamu mambo mengi saana, laiti tungelipewa walau 2% tu ya siri za uumbaji, ingelikuwa hatari saana duniani pasingelikalika.
Hapa duniani mbali na Binadamu, Wanyama, ndege lakini kuna viumbe wengi mno tunapishana nao mabarabarani humo, majumbani tunaishi nao lakini hatuwaoni, hata hili la maiti kuibuka na kuzimika pia ni baadhi ya miujiza michache ambayo hutokea.
Sasa ukifikiria saaana unafika sehemu "beyond human thinking....... inakuwa kiza". Hii ni siri nzito ya uumbaji ambayo tumenyimwa access.