Kuna watu kwenye system wanatumia nguvu sana kumchafua Rais Samia, Mtafeli Samia ni chaguo la Mungu

Genge la mwendazake wamepoteana! Plan yao ya kutengeneza chattle empire imebuma mapema sana na kibaya zaidi mama amewashtukia
 
Mungu wa kokoyo.
Yaani Mungu aache kazi zake nyingi aje awachagulie wabongo .
Kwanza kwa nini hataki kutufungulia VPN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…