Kuna watu kwenye system wanatumia nguvu sana kumchafua Rais Samia, Mtafeli Samia ni chaguo la Mungu

Kuna watu kwenye system wanatumia nguvu sana kumchafua Rais Samia, Mtafeli Samia ni chaguo la Mungu

Mama muoga tu, anadai kufungulia vyombo vya habari kumbe danganya toto.
Nchi iko rehani now, huko mbele ni majanga kwa utumishi na resources zetu.
 
Wazandiki wakubwa nyinyi.

Na mubaki kuwa mashujaa wa mitandaoni tu. Mtumike kumchafua rais wetu kwa maslahi yenu.

Tukiwakamata ndio mtajua hili taifa lina mifumo yake na kamwe hatuwezi wachekea wazandiki.

Muacheni Mheshimiwa rais Mama yetu Samia afanye kazi.

Sema unamtetea sana Mzanzibar mwenzio, lkn ukweli ndo huo, kuwa pale tuna kivuli cha Rais na sio Rais.
 
Sema unamtetea sana Mzanzibar mwenzio, lkn ukweli ndo huo, kuwa pale tuna kivuli cha Rais na sio Rais.
Hayo ya Uzanzibari unayaleta wewe mkuu wangu.

Tunazungumzia Watanzania na huyu ni Rais wa Jamhuri ya muungano.

Mkuu tuunganishe nguvu katika kulinda maslahi mapana ya nchi yetu, na itakuwa vyema sana kama tutampa ushirikiano mama yetu rais wetu kipenzi mama Samia Suluhu Hassan.

Mkuu kwani wewe humpendi Mama???
 
Hehe hehe poleeee mlitaka yule muuwaji wenu aendelee kutuvimbia, Mungu fundi hawezi ona watu wake wanateseka sababu ya mbumbumbu mmoja.... Kwisha habari yake, Haya muongezeeni muda basi.... Na ule muda wa kukaa madarakani tunamuongezea mama.... Ukatili hauna nafasi awamu ya mama
Hahahahahaha

Unaonaje mama tukimuongezea muda?? Ni zamu ya kina Mama sasa. Tuwaache kwa kweli mfanye kazi au sio??
 
Mama muoga tu, anadai kufungulia vyombo vya habari kumbe danganya toto.
Nchi iko rehani now, huko mbele ni majanga kwa utumishi na resources zetu.
Mkuu tujenge nchi sasa.

Haina haja ya kuanza kuwa mtabiri wa mambo ambayo yako wazi kabisa.

Nyota njema huonekana asubuhi, mama ni msikivu na mwenye upendo, ana huruma kwa Watanzania anao waongoza na anao upendo wa dhati kwa taifa hili.

Tuache majungu na chuki na tumpe ushirikiano rais wetu Mheshimiwa rais Mama yetu Samia Suluhu Hassan.
 
Team Jakaya mna mikwala mbuzi,,
Kwani wasiwasi wenu nini,, mbona kila mtu anatambua kuwa mama anaongoza kwa mujibu wa katiba.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Hehe hehe poleeee mlitaka yule muuwaji wenu aendelee kutuvimbia, Mungu fundi hawezi ona watu wake wanateseka sababu ya mbumbumbu mmoja.... Kwisha habari yake, Haya muongezeeni muda basi.... Na ule muda wa kukaa madarakani tunamuongezea mama.... Ukatili hauna nafasi awamu ya mama
Muuaji labda ww na mimba ulizozitoa..
 
Eti kama humuwezi kusamehe kodi leteni huku juu tutasamehe! Enzi za mahotel kubadiri majina kila siku zimerudi asee.
 
Kifupi tu wenyewe mtaanza kufunga vinywa vyenu kwa sababu hata muongee SAMIA ndiye rais wenu na ndiye mwenyekiti wa CCM ajaye
Labda hujanifahamu toka awali..mimi sikatai urais wa SSH kwa mujibu wa katiba yenu lkn she n't my president kwa sababu hana uezo. Hata kiimani tu ni makosa makubwa kwa umma kuongozwa na mwanamke.
 
Labda hujanifahamu toka awali..mimi sikatai urais wa SSH kwa mujibu wa katiba yenu lkn she n't my president kwa sababu hana uezo. Hata kiimani tu ni makosa makubwa kwa umma kuongozwa na mwanamke.
Dah! Hivi kumbe Kuna mijitu mijinga Karne hii? Imani yako Baki nayo chumbani kwani inakusaidia wewe binafsi! Tanzania haina dini jombaa! Huyo ustaadhi aliyekufundisha kuwa mwanamke hawezi kuwa kiuongozi wako ukimuona mtwange ngumi kwani alikuongopea parefu! Unataka kusema madame President haijui Imani yake ipasavyo na amekiuka taratibu za dini yake? Hamka kwa wenye dini yako Basi, usichoshe watu hapa!
 
Dah! Hivi kumbe Kuna mijitu mijinga Karne hii? Imani yako Baki nayo chumbani kwani inakusaidia wewe binafsi! Tanzania haina dini jombaa! Huyo ustaadhi aliyekufundisha kuwa mwanamke hawezi kuwa kiuongozi wako ukimuona mtwange ngumi kwani alikuongopea parefu! Unataka kusema madame President haijui Imani yake ipasavyo na amekiuka taratibu za dini yake? Hamka kwa wenye dini yako Basi, usichoshe watu hapa!
Sawa hamna tabu..pepo mnaitaka na ya dunia mnayataka..mtapasuka msamba!
 
Sawa hamna tabu..pepo mnaitaka na ya dunia mnayataka..mtapasuka msamba!
Uko na hallucination! Pepo yako inaanzia ulipo na sio uendako! Unasoma msaafu upi wewe? Usiwe unakuja humu jf utaaibika!
 
Back
Top Bottom