Kuna watu makatili kweli kweli, achoma paka moto akiwa hai

Sasa mkuu unashangaa paka anapigwa kiberiti binadamu wangapi wanachomwa Moto wakiwa hai huku wakiomba msaada ndio kwanza wanaongeza tairi kuukoleza Moto... binadamu tunapande mbili roho ya utu na roho ya shetani ole wako ukutane na roho ya shetani utajuta kuja duniani. utaona bora baba ako angepiga punyeto akumwage chooni
 

Uongooo[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Halafu anakuja mtu from nowhere anakuambia tanzania ni nchi ya amani 😂
 
Sasa unakuja utotoni mwako ulikua unaua ovyo mijusi. Unashika mjusi, unamkatakata nawembeeeee



Kwann usiwe na roho katili ukubwan?
Mijusi huwa wanauwawa na watoto wa ile dini ya kupata sawabu tena wanawaita kafili sijui kakosea nini kiumbe asiye na madhara kwa binaadamu yeye anapiga zake pushapu kwenye mawe na akimuona mtu analala mbele
 
Kipo chama Cha kutetea haki za wanyama kinaitwa TSPCA
 
Ul Ulikoseaaa!!! Ungevaa helmet ya pikipiki ndio uanze vita, paka akishakuwa shume mzee havumiliki watu wanaongea tuu ila hawajawahi kukutana na paka shume. Anafanya makusudi na anajua kabisa ni kosa
 
Inasikitisha sana kwa alichokifanya ila binadamu wabaya sana

Inawezekana tunatetea kwa adhabu hiyo na wengine wanadiriki kusema wangemjua wangemmaliza nae

Ila wamesahau kuna binadamu huwa wanachomwa hivyo hivyo kwa wizi wa kuku hao hao ila huoni wakifungwa

Huu ni unafiki wa hali ya juu
 
Sikubaliani na ukatili jamaa alioufanya. Ila nashindwa kuelewa uhusiano wa tukio hilo na kabila. Its a waste. Na zaidi ukajikita kwenye ndoa. Inashangaza sana.

Wesukwa msasha? Ama uvekundi iandika tiki?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Ilitakiwa uvae kama mwana apolo ndio umtembezee kisago

 

Fo machame kure vandu vere roho nvishwa
Valeduwaa varombo vesa ndiafo

Kwa kweli tukio la kikatili sana. Hata mahakama inaruhusu kunyonga ila sio kwa maumivu hivi

Ata kawari ngenywa ku, labda ngiveloswaaa kwayaaa kuhewa paaa
 
Fo machame kure vandu vere roho nvishwa
Valeduwaa varombo vesa ndiafo

Kwa kweli tukio la kikatili sana. Hata mahakama inaruhusu kunyonga ila sio kwa maumivu hivi

Ata kawari ngenywa ku, labda ngiveloswaaa kwayaaa kuhewa paaa
Adhuali lo uambe kwamba dweva ku? Loholo ni savasava msasha? Halaf utakolye ni vafidi akwa kbs. Wefumia kwa ma ivi? Utane iamba vandu uviishwa adi ku. Yaan sooso duipambana na vandu veiduamba uviishwa na vahave se? Ure vana va kaa fo? Ure vavao fo? Tra aisee

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Nadja
Maakwa na ndiakwa ni vashaka. Ngileamba vashaka voosa ku. Kure vashaka vere roho ngvishwa. Varombo ku, vashaka va fo mwai na moshii

Mungu, kuni kure vashaka veengi, kwaila, kumbe ,mkeri meso, mwasha nfunga lau. .
 
Wachagga ni watu katili kuanzia wanawake adi wanaume ukijiuliza kwanini idadi kubwa ya wachinjji ni kutoka uko utaelewa na wengine wanaongoza kwa kuua waume zao...

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…