Mivyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2017
- 275
- 533
Kuna wanaume baadhi huwa wanajiona wanaakili sana, kumbe ndiyo chanzo cha wao kuleta uharibifu kwenye familia zao. Hofu ya Mungu isipotawala ndani yako, vitu kama hivi ndiyo huwa vinafanyika! Naomba usome hiki kisa👇👇👇👇
Wamama nimekuta sms mchepuko anamtumia mume wangu nanukuu, "Baby vipi ule mpngo wa kuhamia kwenye nyumba yetu vipi? ,tuhamie bwana mimi hera ya kuamia nitatoa afu kule kibambq panafaa kufuga mifuko itabidi tutengeneze na mabanda", imeishia hapo.
Na mimi na mume wangu tuna wiki moja tumehamia kwetu na ni huko Kibamba, kiwanja kila kitu kina jina lake na langu. nilichofanya nikaingia Mpesa nikaangalia jina lake nikamsearch huku fb, nikaona kapost picha ya nyumba yetu kaandika:
"Mama mjengo, asante Mungu kumaliza nyumba yanguðŸ˜ðŸ˜."
Mpaka sasa nimeganda kama barafu sijaongea chochote na wala mume wangu hajui.
Nimuulize au niwaachie wenyewe mambo yao?
Wamama nimekuta sms mchepuko anamtumia mume wangu nanukuu, "Baby vipi ule mpngo wa kuhamia kwenye nyumba yetu vipi? ,tuhamie bwana mimi hera ya kuamia nitatoa afu kule kibambq panafaa kufuga mifuko itabidi tutengeneze na mabanda", imeishia hapo.
Na mimi na mume wangu tuna wiki moja tumehamia kwetu na ni huko Kibamba, kiwanja kila kitu kina jina lake na langu. nilichofanya nikaingia Mpesa nikaangalia jina lake nikamsearch huku fb, nikaona kapost picha ya nyumba yetu kaandika:
"Mama mjengo, asante Mungu kumaliza nyumba yanguðŸ˜ðŸ˜."
Mpaka sasa nimeganda kama barafu sijaongea chochote na wala mume wangu hajui.
Nimuulize au niwaachie wenyewe mambo yao?