Kuna watu mnasababisha mikosi kwenye ndoa na familia

Kuna watu mnasababisha mikosi kwenye ndoa na familia

In short jamaa anakula kimasihara kwa kumdanganya mchepuko kua anahamia nae kwenye nyumba while in real sense n kwa mkewe.
Hii sentensi ndio imesamaraizi kila kitu 😂😂😂
 
Yoyote my wangu
Dah. [emoji39][emoji38] hebu tupeane location[emoji23]
Screenshots_2022-10-04-10-38-24.jpg
 
Wanaume wengine tunakuwa na mamb ya kshamba San,,af mijijitu mizima Kwa nin mtu unaishi kwenye ndoa Kam ulilazimishwa kuoa tubadilike huko ni kuwazalilisha wake zetu,,
 
Kuna wanaume baadhi huwa wanajiona wanaakili sana, kumbe ndiyo chanzo cha wao kuleta uharibifu kwenye familia zao. Hofu ya Mungu isipotawala ndani yako, vitu kama hivi ndiyo huwa vinafanyika! Naomba usome hiki kisa👇👇👇👇

Wamama nimekuta sms mchepuko anamtumia mume wangu nanukuu,
"Baby vipi ule mpngo wa kuhamia kwenye nyumba yetu vipi? ,tuhamie bwana mimi hera ya kuamia nitatoa afu kule kibambq panafaa kufuga mifuko itabidi tutengeneze na mabanda", imeishia hapo.

Na mimi na mume wangu tuna wiki moja tumehamia kwetu na ni huko Kibamba, kiwanja kila kitu kina jina lake na langu. nilichofanya nikaingia Mpesa nikaangalia jina lake nikamsearch huku fb, nikaona kapost picha ya nyumba yetu kaandika:

"Mama mjengo, asante Mungu kumaliza nyumba yangu😭😭."

Mpaka sasa nimeganda kama barafu sijaongea chochote na wala mume wangu hajui.

Nimuulize au niwaachie wenyewe mambo yao?
Utunzi Mzuri.
 
Jiandae tu kupandishwa cheo uwe mke mkubwa.Ni suala la muda tu so it's good to psychologically prepared.
 
Mkuu kuwa mpole na u play your part as a wife
Hizi ndio kelele zinazua migogoro

Ukijifanya mjuaji tu umekwisha
Kiufupi sasa hivi wanaume hatupendi kelele hizi
Sasa hampendi kelele hizi kwanini mnafanya? Huyo mwanamke akiamua amuue mkeo ili ahamie
Hasara kwa nani?
 
Ila Kuna wanawake wajinga,unajengaje na hawara?!!!ni upuuzi uliopitiliza Kabisaa

Dada we waachie mambo watajuana wenyewe!!!
Na ndo hapo hawara anajibebesha mimba kwasababu anajua hiyo nyumba watagawana na watoto wa mke wa ndoa. Wanaume mnatutesa sana
 
Kuna wanaume baadhi huwa wanajiona wanaakili sana, kumbe ndiyo chanzo cha wao kuleta uharibifu kwenye familia zao. Hofu ya Mungu isipotawala ndani yako, vitu kama hivi ndiyo huwa vinafanyika! Naomba usome hiki kisa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Wamama nimekuta sms mchepuko anamtumia mume wangu nanukuu, "Baby vipi ule mpngo wa kuhamia kwenye nyumba yetu vipi? ,tuhamie bwana mimi hera ya kuamia nitatoa afu kule kibambq panafaa kufuga mifuko itabidi tutengeneze na mabanda", imeishia hapo.

Na mimi na mume wangu tuna wiki moja tumehamia kwetu na ni huko Kibamba, kiwanja kila kitu kina jina lake na langu. nilichofanya nikaingia Mpesa nikaangalia jina lake nikamsearch huku fb, nikaona kapost picha ya nyumba yetu kaandika:

"Mama mjengo, asante Mungu kumaliza nyumba yangu[emoji24][emoji24]."

Mpaka sasa nimeganda kama barafu sijaongea chochote na wala mume wangu hajui.

Nimuulize au niwaachie wenyewe mambo yao?
 
Back
Top Bottom