Kapteni nae taahira tu, ndo nini kufanya hivyo?
Hapo hizo ni mbwembwe za kampeni tu ya kutafuna mbunye ya mgombea wa viti maalumu.π! Kimsingi ameingizwa kingi na kajaa wacha aliwe wewe achana na umbeya wa kukagua simu ya mume.
Hili linanifanya nawaza kweli mwanamke akiwa na amani sana anafafuta sababu ya ugomvi tu ili mkwazane.
Kwa afya ya ndoa yenu potezea.Kuna Wanaume baadhi huwa wanajiona Wana akili sanaa,kumbe ndo chanzo cha wao kuleta Uharibifu kwenye Familia zao...
We haya mambo yasikie tu. Kapteni anawezakufika kwako akakupanga ukajiona kama wewe ndio Malkia, dunia yote Yako, unapandisha waheshimiwa kwenye Uda wakihudhuria maziko Yako, kumbe shida yake kimasihara tu.
Mwanaume yeyote akiweza kushinda hiyo kadhia, hakuna jaribu lingine litampelekesha. Hiyo vita inatafuna watumishi, watu wenye heshima zao n.k, hauangalii makunyanzi. Mjue hata sisi hatupendi na tunajitahidi sana, Tena Kwa kujutia kusikoelezeka ila ndio mtihani wenyewe sasa.
Ndio mchepuko kadanganywa.πππMi nahisi kadanganywa
Mara nyingi matatizo ya mwanamke chanzo ni mwanaume [emoji23]
Aww nakojoa kabisaaa π .Mara nyingi matatizo ya mwanamke chanzo ni mwanaume [emoji23]