Kuna watu mnasababisha mikosi kwenye ndoa na familia

In short jamaa anakula kimasihara kwa kumdanganya mchepuko kua anahamia nae kwenye nyumba while in real sense n kwa mkewe.
Hii sentensi ndio imesamaraizi kila kitu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wanaume wengine tunakuwa na mamb ya kshamba San,,af mijijitu mizima Kwa nin mtu unaishi kwenye ndoa Kam ulilazimishwa kuoa tubadilike huko ni kuwazalilisha wake zetu,,
 
Utunzi Mzuri.
 
Jiandae tu kupandishwa cheo uwe mke mkubwa.Ni suala la muda tu so it's good to psychologically prepared.
 
Mkuu kuwa mpole na u play your part as a wife
Hizi ndio kelele zinazua migogoro

Ukijifanya mjuaji tu umekwisha
Kiufupi sasa hivi wanaume hatupendi kelele hizi
Sasa hampendi kelele hizi kwanini mnafanya? Huyo mwanamke akiamua amuue mkeo ili ahamie
Hasara kwa nani?
 
Ila Kuna wanawake wajinga,unajengaje na hawara?!!!ni upuuzi uliopitiliza Kabisaa

Dada we waachie mambo watajuana wenyewe!!!
Na ndo hapo hawara anajibebesha mimba kwasababu anajua hiyo nyumba watagawana na watoto wa mke wa ndoa. Wanaume mnatutesa sana
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…