Kuna watu na PhD zao wapo nyumbani hawana kazi, Rais Samia tafadhali saidia

Kuna watu na PhD zao wapo nyumbani hawana kazi, Rais Samia tafadhali saidia

Hela mnazotumia kusoma Uzamili na Uzamivu ni bora mngezitumia kuanzisha biashara.
 
Graduate wengi Hadi lectures hapa TZ HAKUNA WANACHOPATA HUKO VYUONI

NAONA HII NCHI YA OVYO SANA HUWEZI KUTOFAUTISHA EDUCATED AND UNEDUCATED
Dah!...usitudharau kiasi hicho aisee..... changamoto zipo ila umuhimu wetu upo pia.
 
Sasa mtu mpaka anapata PhD halafu hajui kutengeneza ajira, nadhani tatizo lipo kwake tatizo sio la serikali.
Wapo wasomi wakubwa wamepata PhD kutoka vyuo vyenye sifa kubwa duniani lakini wasomi hawa wapo nyumbani hawana kazi.

Sipendi kuamini kuwa hatuwahitaji watu hawa nchini. Tumewasomesha kwa gharama kubwa na sasa tuwatumie kwa faida ya taifa letu.

Ninashauri rais wetu mama Samia kuwe na kanzi data (data base) yenye majina na wasifu wa wasomi hawa ili waweze kupewa nafasi za ajira na teuzi mbalimbali kwa manufaa ya nchi yetu.
 
Lengo mahususi la elemu ni kumfanya mhitimu aweze kukabiliana na mazingira yanayomzunguka kujipatia mahitaji yake mhimu sasa , hao wenye PHD wazitumie kujipatia mahitaji yao wenyewe na kuletea jamii mabadiliko sio kusubiria teuzi...

Waonyeshe elimu yao mtaani sio kusubiri teuzi.
 
Hapana ni mfumo mmbaya tu. Watu wanasoma sana siku hizi na baada ya miaka mingi shuleni wakosa kazi.
Ukitaka kujua jinsi nchi ilivyo ya kipumbavu na raia wake wengi walivyo mbumbumbu njoo hapa jamii forum , ni kama hivi unavyoona .
Nchi inapokuwa na wasomi halafu inashindwa kuwatumia ni upuuz , nchi zote hao watu wenye Phd hasa za masuala ya science NK huwa wanatumika kwenye taasisi za utafiti na masuala ya miradi ya uvumbuzi wa teknolojia nk , hapa kwetu ni kinyume halafu unategemea nchi iendelee , iendelee kwa kukumbatia mediocrity mentality kama hii ? ,
 
Ukitaka kujua jinsi nchi ilivyo ya kipumbavu na raia wake wengi walivyo mbumbumbu njoo hapa jamii forum , ni kama hivi unavyoona .
Nchi inapokuwa na wasomi halafu inashindwa kuwatumia ni upuuz , nchi zote hao watu wenye Phd hasa za masuala ya science NK huwa wanatumika kwenye taasisi za utafiti na masuala ya miradi ya uvumbuzi wa teknolojia nk , hapa kwetu ni kinyume halafu unategemea nchi iendelee , iendelee kwa kukumbatia mediocrity mentality kama hii ? ,
Asante sana kwa kuelewa hilo ulimbukeni umezidi Tanzania.
 
Hayo ni maneno ya kupeana moyo tu. Ni PHD gani huyo aliemtaani hana kazi? Tuache kudharau elimu za watu. Unafikiri PHD ni sawa na form four nini? Au unafikiri ni rahisi kupata hiyo PHD?
 
Acha utani basi, PhD holder ni jobless na atasaka ajira hizi hizi 🤔. Ndio maana nashauri ukitaka kusoma masters subiri ufanye kazi angalau miaka miwili hapo utajua ukasome masters ya kitu gani ukiwa ndani ya mfumo.

Kama umejiajiri subiri miaka 5 kabisa ndio ukajiendeleze ngazi ya masters, ila usiache kujipa maarifa huku mtandaoni na kwenye vitabu pia
 
Wasijali muda wao ukifika watapata hizo ajira. Wamtangulize Mungu mbele mkate wao upo.


Tangazo 5.JPG
 
Roma mkatolik_nipeni maua yangu..
Wimbo mpya,
Moja ya stanza anasema Kuna jamaa ana PhD ila anauza nyanya karatu ni nani huyo?
 
Wapo wasomi wakubwa wamepata PhD kutoka vyuo vyenye sifa kubwa duniani lakini wasomi hawa wapo nyumbani hawana kazi.

Sipendi kuamini kuwa hatuwahitaji watu hawa nchini. Tumewasomesha kwa gharama kubwa na sasa tuwatumie kwa faida ya taifa letu.

Ninashauri rais wetu mama Samia kuwe na kanzi data (data base) yenye majina na wasifu wa wasomi hawa ili waweze kupewa nafasi za ajira na teuzi mbalimbali kwa manufaa ya nchi yetu.
Haya sisi tunayafahamu, ila wakati mwingine kukaa kimya ni busara.
 
Hawa ma phd wengi wa bongo viazi tu , tulikua nae mmoja chuo flani daah hadi inafikirisha ila ndio hivyo ni mambo ya michongo na connections za scholarships
 
Wapo wasomi wakubwa wamepata PhD kutoka vyuo vyenye sifa kubwa duniani lakini wasomi hawa wapo nyumbani hawana kazi.

Sipendi kuamini kuwa hatuwahitaji watu hawa nchini. Tumewasomesha kwa gharama kubwa na sasa tuwatumie kwa faida ya taifa letu.

Ninashauri rais wetu mama Samia kuwe na kanzi data (data base) yenye majina na wasifu wa wasomi hawa ili waweze kupewa nafasi za ajira na teuzi mbalimbali kwa manufaa ya nchi yetu.
Sawa mkuu andaa vyeti teuzi umepata
 
Ni wengi siwezi kukutajia wapo majumbani na wengine wanauza maduka tena ya ndugu zao. Wana qualifications kubwa kuliko ma PhD holders wengi tulio nao!
Waambie wakajiajiri waachane na janja janja za CCM, Tanzania kuna fursa nyingi sana kwenye mashamba, bahari & maziwa, mabwawa & mito, madini, misitu n.k
 
Ni wengi siwezi kukutajia wapo majumbani na wengine wanauza maduka tena ya ndugu zao. Wana qualifications kubwa kuliko ma PhD holders wengi tulio nao!
PhD wengi ni kama dk nawanda tu, hawaaminiki muda wowote wanaweza kufanya tukio la AIBU KUBWA
 
Back
Top Bottom