Kuna watu na PhD zao wapo nyumbani hawana kazi, Rais Samia tafadhali saidia

Kuna watu na PhD zao wapo nyumbani hawana kazi, Rais Samia tafadhali saidia

Nyie pengine hamjasoma na hampendi wasomi pamoja na kutegemea kazi zao. Hivi mnajua kuwa kila kitu kinachhongoza maisha ya watu wasomi ndio chanzo chake? Hizo bidhaa mnazouza zimetengenezwa na wasomi nyie kazi ni kusambaza na kuuza tu.
Kuna njia tatu za kufanikiwa kimaisha...
Bahati
Kipaji
Bidii yenye akili....
Mwambie ajitafute hapo, yupo kundi gani aache kulia lia...
PhD Bongo Bahati mbaya.

Akiwa mkurugenzi ataiba tuu we check report ya CAG utagundua kusoma sana ni utapel wakuja kutumia elimu yako kuibia wenzako
 
PhD kitu gani.
Tumekua nao hao uchumi unadorora. Wengine wakaenda mbali zaidi kwa kutumia ndege ya serikali kwenda kwa mganga wa kienyeji kuchukua dawa, wengine wamekataliwa na watu wa kwao wakanyimwa ubunge. Just imagine MTU ana PhD na degree kibao lakini jimboni kwake hawana Imani nae.
Wewe nawe unga hapa chini.
Nyie pengine hamjasoma na hampendi wasomi pamoja na kutegemea kazi zao. Hivi mnajua kuwa kila kitu kinachhongoza maisha ya watu wasomi ndio chanzo chake? Hizo bidhaa mnazouza zimetengenezwa na wasomi nyie kazi ni kusambaza na kuuza tu.
 
Mmasai anayemiliki ng'ombe hamsini wa maziwa , ana maisha mazuri kuliko msomi mwenye PhD.
Mkulima anaye miliki eka kumi za shamba lenye miti ya matunda, ana maisha mazuri kuliko msomi mwenye PhD.
Kupanga ni kuchagua...
 
Kwa sasa Taanzania tuna mafuriko ya PhD FEKI za China. Thesis zao ni Secondary Data. PhD Graduates hasa wa China hawana Research Skills.

TCU tuna omba msizitambue PhD za China.
 
Kama mtu ana elimu kuanzia kidato cha 4 na kuendelea, halafu hana kazi halali ya kumletea kipato na ziada, ajitafakari sana kuhusu elimu yake, ikiwezekana arudi shule upya.

In fact, kila mtu mwenye akili timamu (18+ years), anapaswa kuwa creative and hardworker, regardless of the environment.

Ombaomba, mikopo, misaada, pesa za bure, madili, upigaji, wizi, kamari, michezo ya bahati-nasibu, ulevi, na mitandao ya kijamii imewafanya wengi sana wawe wavivu, duni, na makululu.

Watu wa namna hiyo ni vifaji (liability) kwa taifa lolote. Wake up!
 
Tuanze na wasomi wa sayansi. Ni aibu kwa taifa linaloendelea kuwaacha hawa wasomi mtaani.
Wanaachwa kwa sababu, obviously, the so-called elimu waliyonayo haina faida yoyote, ni mzigo, kifaji (liability).

Kwa mwendo huu, watakuwa wakienda kwenye usaili watu 40k kwenye kampuni au mahali ambako anahitajika mtu mmoja au wawili.

We must wake up before it's too late. Kulialia sana ^sanyingine^ hakuleti faida yoyote, zaidi ya kupoteza muda na nguvu bure.
 
Wapo wasomi wakubwa wamepata PhD kutoka vyuo vyenye sifa kubwa duniani lakini wasomi hawa wapo nyumbani hawana kazi.

Sipendi kuamini kuwa hatuwahitaji watu hawa nchini. Tumewasomesha kwa gharama kubwa na sasa tuwatumie kwa faida ya taifa letu.

Ninashauri rais wetu mama Samia kuwe na kanzi data (data base) yenye majina na wasifu wa wasomi hawa ili waweze kupewa nafasi za ajira na teuzi mbalimbali kwa manufaa ya nchi yetu.
Du huyo PhD holder anayekosa kazi ya kufanya atakuwa amesoma kibongobongo.
 
Nafahamu fika. Nakwambia watu wana uzoefu wa miaka zaidi ya 15 tena wamefanya kazi nchi za nje na wana machapisho mengi lakini kazi hawapati licha ya kufanya applications kibao. Ni hatari!
Acha wakae nyumbani....Kwanza jua kila mtu anahitaji kazi, azalishe.
Pili hakuna nchi iliyoajiri raia wake wote.
Raia wanashauriwa kujiajiri huku serikali ikiweka mazingira na miundombinu..
 
PhD kitu gani.
Tumekua nao hao uchumi unadorora. Wengine wakaenda mbali zaidi kwa kutumia ndege ya serikali kwenda kwa mganga wa kienyeji kuchukua dawa, wengine wamekataliwa na watu wa kwao wakanyimwa ubunge. Just imagine MTU ana PhD na degree kibao lakini jimboni kwake hawana Imani nae.
Tanzania yetu 🎵
 
Mmasai anayemiliki ng'ombe hamsini wa maziwa , ana maisha mazuri kuliko msomi mwenye PhD.
Mkulima anaye miliki eka kumi za shamba lenye miti ya matunda, ana maisha mazuri kuliko msomi mwenye PhD.
Kupanga ni kuchagua...
Tanzania yetu 🎵
 
Back
Top Bottom