ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Tupo pamoja mtaalam wa kugawa makopa.Naunga mkono hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo pamoja mtaalam wa kugawa makopa.Naunga mkono hoja
Tupeane tuTupo pamoja mtaalam wa kugawa makopa.
Sijasema ndivyo ilivyo kwamba kila mmoja ameishi Ulaya 15 years! Mtu ana 15 years uzoefu wa kazi some of it was gained abroad. Mtu amemaliza mikataba yake nje ya nchi amerejea nyumbani kama mkataba unavyomtaka anajikuta hapati kazi watu hawa lazima wasaidiwe na serikali.Mimi naangalia kuhusu matumizi sahihi ya ulichokisoma ukiishi ulaya ukapata Ajira kwa Elimu yako ya PhD within 15yrs huwezi kuwa jobless na kusubiri Ajira uchwara za serikalini Ambazo kuzipata sharti uwe mwanaccm
Inaonekana mnachukulia mambo lightly sana watanzania vijana. Kila kitu ni utani na mzaha.Sio uzoefu hata talent pia. How you understand things and how you can digest them
Sijasema ndivyo ilivyo kwamba kila mmoja ameishi Ulaya 15 years! Mtu ana 15 years uzoefu wa kazi some of it was gained abroad. Mtu amemaliza mikataba yake nje ya nchi amerejea nyumbani kama mkataba unavyomtaka anajikuta hapati kazi watu hawa lazima wasaidiwe na serikali.
Mzee naona una mentality ya kwamba alieenda shule ndio ana akili wakati kuwa na akili ni kitu ambacho ni inborne.Inaonekana mnachukulia mambo lightly sana watanzania vijana. Kila kitu ni utani na mzaha.
Mzee naona una mentality ya kwamba alieenda shule ndio ana akili wakati kuwa na akili ni kitu ambacho ni inborne.Inaonekana mnachukulia mambo lightly sana watanzania vijana. Kila kitu ni utani na mzaha.
Sasa PhD ya nini kama umeshindwa kabadili mazingira magumu kuwa mepesi au changamoto kuwa fursa Sasa mtu kama huyo atawezaje kuongoza taasisi unayotaka yeye ateuliwe?Hata mazingira ya kujiajiri ni magumu. Pia unakuta mtu ana PhD ya utafiti wa mbu atajiajiri vipi? Sio rahisi kihivyo.
Ndo mana sitaki kujitia stress za kwenda kusoma masters ila In shaa Allah nikipta ajira nitaenda kusomaWapo wasomi wakubwa wamepata PhD kutoka vyuo vyenye sifa kubwa duniani lakini wasomi hawa wapo nyumbani hawana kazi.
Sipendi kuamini kuwa hatuwahitaji watu hawa nchini. Tumewasomesha kwa gharama kubwa na sasa tuwatumie kwa faida ya taifa letu.
Ninashauri rais wetu mama Samia kuwe na kanzi data (data base) yenye majina na wasifu wa wasomi hawa ili waweze kupewa nafasi za ajira na teuzi mbalimbali kwa manufaa ya nchi yetu.
Ili uendelee kuwa masikini?Wewe Kama ni masikini Kama Mimi unapoenda kusoma hakikisha unasoma fani zetu Ambazo ni
Ualimu
Afya
Kilimo na uvuvi
Tofauti na hapo ni kutafta lawama tu kwa watu.
Mtu akifanya PhD mfano biochemistry of chiken manure yaani chemia ya mavi ya kuku, haimaanishi huyo mtu anajua mavi ya kuku au mkaanza kusema amesomea mavi ya kuku atapata kazi wapi? Kuna mengi yanayoambatana na PhD hiyo na yanamweka mwanafunzi pahali pa kufanya kazi katika uwanja wa chemistry.PhD ya Utafiti juu ya viatu alivyovaa Chief Ihunyo aliyegundua mkaja wa babu kwenye mahari. Case study Kiabakari.
Watu wanakata tamaa kuona wasomi wakubwa wapo nyumbani wamejikalia bure.Ndo mana sitaki kujitia stress za kwenda kusoma masters ila In shaa Allah nikipta ajira nitaenda kusoma
Bado mnafikiri PhD ni ka uchawi ka kufanya mambo pindi unapokuwa nayo? Kuna mengi ni kama vile unakuwa na mtu mwenye akili nzuri kibiashara ana business plan nzuri lakini hana mtaji.Sasa PhD ya nini kama umeshindwa kabadili mazingira magumu kuwa mepesi au changamoto kuwa fursa Sasa mtu kama huyo atawezaje kuongoza taasisi unayotaka yeye ateuliwe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pure head demage (PHD) Au PhD?Wapo wasomi wakubwa wamepata PhD kutoka vyuo vyenye sifa kubwa duniani lakini wasomi hawa wapo nyumbani hawana kazi.
Sipendi kuamini kuwa hatuwahitaji watu hawa nchini. Tumewasomesha kwa gharama kubwa na sasa tuwatumie kwa faida ya taifa letu.
Ninashauri rais wetu mama Samia kuwe na kanzi data (data base) yenye majina na wasifu wa wasomi hawa ili waweze kupewa nafasi za ajira na teuzi mbalimbali kwa manufaa ya nchi yetu.
Ndio/sio. Akili mtu huzaliwi nazo bali unazipata kupitia life experience au learning. Unazaliwa na ile potential ya kupata akili, ukiitumia utakuwa na akili usipotumia unabaki zuzu.Mzee naona una mentality ya kwamba alieenda shule ndio ana akili wakati kuwa na akili ni kitu ambacho ni inborne.
Kwaiyo umeajiriwa miaka kumi na Tano umeshindwa kufanya save kiasi Cha pesa ambacho unaweza kukitumia kama mtaji wa kuigeuza elimu yako kuwa pesa na unataka upewe taasisi Si nyie ndo mnaoua mashirika na taasisi zetuInaonekana huelewi uhalisia wa mambo unachukulia jumla jumla mambo. Unafikiri ukienda Ulaya ni kama umekwenda Mbinguni huwezi kurudi nyumbani?
Sasa elimu za nini kama zimeshindwa kuwanufaisha wao wenyeweNi wengi siwezi kukutajia wapo majumbani na wengine wanauza maduka tena ya ndugu zao. Wana qualifications kubwa kuliko ma PhD holders wengi tulio nao!
Watu wanafanya kazi miaka 30 hawaweza kujenga nyumba. Kuna mambo mbalimbali yanayoweza kumkabili mtu asiweze kusave. Pia mtu aliyekwisha fanya kazi flani mathalani kazi ya utafiti yupo ofisini leo unamwambia akaanze kufanya biashara au kilimo cha mpunga sio rahisi akafanikiwa.Kwaiyo umeajiriwa miaka kumi na Tano umeshindwa kufanya save kiasi Cha pesa ambacho unaweza kukitumia kama mtaji wa kuigeuza elimu yako kuwa pesa na unataka upewe taasisi Si nyie ndo mnaoua mashirika na taasisi zetu
Sent using Jamii Forums mobile app