Fashion
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fashion
Mtu kasoma kwa vile ada ipoMzee naona una mentality ya kwamba alieenda shule ndio ana akili wakati kuwa na akili ni kitu ambacho ni inborne.
Sio PhD tu elimu yoyote hata ya elimu jadi na elimu dunia inatakiwa ikukomboe wewe mwenyewe kifikra na kiuchumi piaBado mnafikiri PhD ni ka uchawi ka kufanya mambo pindi unapokuwa nayo? Kuna mengi ni kama vile unakuwa na mtu mwenye akili nzuri kibiashara ana business plan nzuri lakini hana mtaji.
Anaweza fanya biashara inayohusiana na huo utafiti aloufanya kwa miaka 30Watu wanafanya kazi miaka 30 hawaweza kujenga nyumba. Kuna mambo mbalimbali yanayoweza kumkabili mtu asiweze kusave. Pia mtu aliyekwisha fanya kazi flani mathalani kazi ya utafiti yupo ofisini leo unamwambia akaanze kufanya biashara au kilimo cha mpunga sio rahisi akafanikiwa.
Mkuu matapeli hayo PhD analia lia vp degree nae??Hizo PhD haziwezi kuwa na manufaa kwa wao binafsi,familia zao,Koo zao pamoja na jamii zao mpaka waajiriwe au wapate teuzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha ajabu huyo mtu ambaye ujua hawezi kufanikiwa hata kwenye shughuri zake binafsi unampigia pande akawe mkurugenzi wa mashirika na taasisi kama ATCLWatu wanafanya kazi miaka 30 hawaweza kujenga nyumba. Kuna mambo mbalimbali yanayoweza kumkabili mtu asiweze kusave. Pia mtu aliyekwisha fanya kazi flani mathalani kazi ya utafiti yupo ofisini leo unamwambia akaanze kufanya biashara au kilimo cha mpunga sio rahisi akafanikiwa.
Haya ndo mtapeli ya kitaluumaMkuu matapeli hayo PhD analia lia vp degree nae??
Wahuni hao ndiyo wanaokula pesa za miradiHata mazingira ya kujiajiri ni magumu. Pia unakuta mtu ana PhD ya utafiti wa mbu atajiajiri vipi? Sio rahisi kihivyo.
Na sio rahisi kama hizo biashara mnazofungua mkiwa na laki mbili. Unakwenda kwenye kona moja na kuanza biashara leo leo. Mtu kama huyo mtaji wa professional business aliyosemea ni milioni angalau 300.Anaweza fanya biashara inayohusiana na huo utafiti aloufanya kwa miaka 30
Sent using Jamii Forums mobile app
Amesoma nuclear physicsWewe Kama ni masikini Kama Mimi unapoenda kusoma hakikisha unasoma fani zetu Ambazo ni
Ualimu
Afya
Kilimo na uvuvi
Tofauti na hapo ni kutafta lawama tu kwa watu.
Sio kweli kwa kila mtu.Wahuni hao ndiyo wanaokula pesa za miradi
Wanatumia PhD zao vibaya
Hapana ni mfumo mmbaya tu. Watu wanasoma sana siku hizi na baada ya miaka mingi shuleni wakosa kazi.Kuna njia tatu za kufanikiwa kimaisha...
Bahati
Kipaji
Bidii yenye akili....
Mwambie ajitafute hapo, yupo kundi gani aache kulia lia...
PhD Bongo Bahati mbaya.
Akiwa mkurugenzi ataiba tuu we check report ya CAG utagundua kusoma sana ni utapel wakuja kutumia elimu yako kuibia wenzakoCha ajabu huyo mtu ambaye ujua hawezi kufanikiwa hata kwenye shughuri zake binafsi unampigia pande akawe mkurugenzi wa mashirika na taasisi kama ATCL
Sent using Jamii Forums mobile app
Anataka aje akae ofis fulan aanze kuibia wananchiFashion
Hujakosea ndiyo hao haoKwaiyo umeajiriwa miaka kumi na Tano umeshindwa kufanya save kiasi Cha pesa ambacho unaweza kukitumia kama mtaji wa kuigeuza elimu yako kuwa pesa na unataka upewe taasisi Si nyie ndo mnaoua mashirika na taasisi zetu
Sent using Jamii Forums mobile app