Kuna watu utawaona night club ila mchana hawaonekani popote pale

Mwalimu umerudi?? Karibu tena jukwaani.
 
Ulichokiona ni mchanganyiko wa wahuni plus vibwengo wenye miili halisi toka katika ulimwengu wa roho!!

Endelea kwenda mkuu halafu kaza kuangalia macho yao kama utaona ni binadamu hao!!
 
Macho ya kuwaka kama paka gizani ukimumulika tochi mwanzoni yalinishtua sana nikawa naogopa mno...

Nilienda kule club za masaki: elements, next door et al zile pisi mule hata wanyarwanda wanasubir kali sana, ndefuuuu, well built feminine figure basi nikastaajabu sana... Sikuwahi kuziona popote ile live
 
Ulichokiona ni mchanganyiko wa wahuni plus vibwengo wenye miili halisi toka katika ulimwengu wa roho!!

Endelea kwenda mkuu halafu kaza kuangalia macho yao kama utaona ni binadamu hao!!
Macho Yao ni gold yanawaka kama ya paka, majamaa wapo na mademu classic sana wamejaza backet za Heineken na mabarafu ya kutosha wanapiga vyombo tu dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ila tuseme ukweli wale watu bata wanazijua manina huwez mwambia aende katavi akalime mahindi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuuu kumbe hata wewe uligundua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] oya zile pisi ni magic ahsee kwanza ule mwonekano wao huwaoni popote pale mida ya mchana hata usiku ni sehemu kubwa tu za starehe. Wanafumua vyombo baridi hawajui kilo ya Unga bei gn manina zao
 
Ulichokiona ni mchanganyiko wa wahuni plus vibwengo wenye miili halisi toka katika ulimwengu wa roho!!

Endelea kwenda mkuu halafu kaza kuangalia macho yao kama utaona ni binadamu hao!!
Vibwengo unavitambuwaje? Vipi ukiparamia kimoja ukakubaliana nacho kwenda kuchakatana inakuwaje?

Ukikaza kuangalia macho yao yata reveal nini/ utagundua nini/ indicator zipi
 
Hizo pis kali zinachukulika!!?next time ka test mitambo mkuu kama sio za vibwengo!!
 
Acheni fikra potofu wale ni watu tu kama sisi sema looking Yao tu ni magic kidogo
Haya mwalimu naona umeshaaply kazi tayari. Kuna shuhuda za wengi waliokuwepo huko wanaeleza hayo. Uwepo wa Mapepo kwa jinsi ya kibinadamu na ndio wanafanya hayo kwa lengo la kuwaunganisha na ulimwengu wa kishetani.
 
Haya mwalimu naona umeshaaply kazi tayari. Kuna shuhuda za wengi waliokuwepo huko wanaeleza hayo. Uwepo wa Mapepo kwa jinsi ya kibinadamu na ndio wanafanya hayo kwa lengo la kuwaunganisha na ulimwengu wa kishetani.
Hayo yanawezekana ila sio wote, mapepo yatoa pesa mfukoni tena wanachanja Kwa visa card?? Ili walipie vinywaji
 
Vibwengo unavitambuwaje? Vipi ukiparamia kimoja ukakubaliana nacho kwenda kuchakatana inakuwaje?

Ukikaza kuangalia macho yao yata reveal nini/ utagundua nini/ indicator zipi
Vibwengo vinapepesa macho haviwezi kutazama direct yaani kama vinakwepesha ile direct contact!


ukichukua pis unaenda kula tu man sema uwe jasiri halafu ulimwengu wako wa kiroho uwe mfu kuto detect chochote lakini kama sisi ambao hata manzi za kawaida tu HUWA tunazishtukia kuwa haziendani na mfumo wa kiroho chetu ni ngumu kupeleka moto KWA kiumbe ambacho roho nafsi yako ina mashaka nacho kua I nahitilafu MAHALI!!!
 
Mchana namba zanjano
Usiku kaweka nyeupeee...........🎶🎶
 
Usnambie ata insta umewakosa🙄
 
Hizo pis kali zinachukulika!!?next time ka test mitambo mkuu kama sio za vibwengo!!
Sidhani nahisi wanakwendaga na watu wao wamewekewa odder kabisa hawajiendei tu kama hii mikahaba yetu ya tandika. Wale hata uwe na pesa lakini wanaweza kukukataa vilevile maana huna mwonekano wa kutoka nao. Zile pisi sio za ahsee wanafyonza sana pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…