NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
sizungumzii wale waliokaza mafuvu wanafanya tabia kwa kujielewa na walishakataa ushauri, hapa ni wale ambao tabia wanazofanya zinakera wengine ila hawana hatia kamili kwenye tabia zao aidha wao hawajui kwamba wanachofanya ni tabia mbaya, wameishi na watu au sehem flan kwa mda mrefu iliyowafanya wazoee tabia flani,n.k hawa bado wana nafasi ya kuokolewa na wanahitaji msaada.
- anaringa ila yeye hajui kwamba anachofanya kwenye jamii ni maringo, huenda kwao alikuwa getikali inakua ngumu kujichanganya.
-mtu ananuka ila hajijui, anaona ni kawaida, yeye hasikii harufu, n.k.
-mtu ni mmbeya a.k.a kisimpite, huenda kakaa sana na mashangazi wenye hizi tabia kwake kawaida
-mtu ana masifa ila yeye anaona kawaida, yawezekana huko alikoishi kwa muda mrefu ndivyo wanavyoishi.
-mtu anaongea matusi kwake kawaida, yawezekana kakaa muda mrefu na watu wanaoongea hivi, yeye kwake haoni tatizo
ukimwambia ukweli anaanza visingizio unrelated kwamba mti wenye matunda hupigwa mawe, tafuta pesa, n.k.
ni mbinu zipi za kidiplomasia unamjulisha mtu juu ya tatizo alilonalo na wala halipi uzito ?
- anaringa ila yeye hajui kwamba anachofanya kwenye jamii ni maringo, huenda kwao alikuwa getikali inakua ngumu kujichanganya.
-mtu ananuka ila hajijui, anaona ni kawaida, yeye hasikii harufu, n.k.
-mtu ni mmbeya a.k.a kisimpite, huenda kakaa sana na mashangazi wenye hizi tabia kwake kawaida
-mtu ana masifa ila yeye anaona kawaida, yawezekana huko alikoishi kwa muda mrefu ndivyo wanavyoishi.
-mtu anaongea matusi kwake kawaida, yawezekana kakaa muda mrefu na watu wanaoongea hivi, yeye kwake haoni tatizo
ukimwambia ukweli anaanza visingizio unrelated kwamba mti wenye matunda hupigwa mawe, tafuta pesa, n.k.
ni mbinu zipi za kidiplomasia unamjulisha mtu juu ya tatizo alilonalo na wala halipi uzito ?