Kuna watu wanalia wengine kufurahi lakini ujue Mungu ndie mpangaji wa yote haya

Kuna watu wanalia wengine kufurahi lakini ujue Mungu ndie mpangaji wa yote haya

Mungu si amteketeze shetani wake? Katuumba na madhaifu na shetani bado yupo anategemea nini?
Either amuondoe shetani au atuondolee madhaifu aliyotuumba nayo.
Shetani kwa sasa yuko gerezani akisubiri miaka 1000 itakapotimia afunguliwe ajione yuko huru akawakusanye wenzake wote kuingia vitani na Mungu na hapo ndipo watakapoangamizwa ufunuo 20/7-10

So shetani ataangamizwa ila sio leo wala kesho

Yote ni mipango yake mungu
 
Shetani alikuja duniani akamkuta binadamu so kosa la binadamu ni kumkubali shetani na kumfuata angempinga angesepa zake
So ni sisi binadamu ndio tumemkosea mungu
Wewe binafsi umemkosea nini mungu? Ninavyoelewa ni kwamba kila mtu atahukumiwa kwa dhambi zake.
Sasa kosa afanye adam leo nihukumiwe mimi?
Na kwanini makosa/dhambi zote ukitubu anakusamehe kasoro hiyo ya adam peke yake? Haimake sense
 
Shetani kwa sasa yuko gerezani akisubiri miaka 1000 itakapotimia afunguliwe ajione yuko huru akawakusanye wenzake wote kuingia vitani na Mungu na hapo ndipo watakapoangamizwa ufunuo 20/7-10

So shetani ataangamizwa ila sio leo wala kesho

Yote ni mipango yake mungu
Alifungwa mwaka gani?
Yesu alikuja hapa duniani miaka 2000 iliyopita...according to history.
Ina maana muda wa shetani kukaa gerezani haujaisha tu?
 
Nimesema yote ni mipango ya Mungu
Tulipokosea sisi binadamu ni kumkubali shetani ambae Mungu alimtimua huko aliko mwanzo 3/1-5
hivi we unaakili kwa hizi hoja zako?
"tulipokosea sisi binadamu ni kumkubali shetani" hlf wkt huohuo unasema mungu ndo kapanga sasa si kapanga na binadamu kumkubali huyo shetani!,hlf wkt huohuo vitabu vya dini vinasema shetani ndo mbaya,kwahiyo nani mbaya..?
acha kujichanganya ndugu hebu kale ukalale
 
Lini tulimkubali huyu shetani? Kosa afanye adam na hawa tuadhibiwe binanamu wote mpk leo?
Kwani si tunaambiwa mungu ni wa huruma na ukiomba msamaha anasamehe?
Hiyo huruma yake iko wapi?
Hiki ndio kizazi kilekile cha Adamu hakijabadilika na shetani bado yupo ngangari so bado tunaendelea kukosea ukiacha wale wa kwanza
 
Hiki ndio kizazi kilekile cha Adamu hakijabadilika na shetani bado yupo ngangari so bado tunaendelea kukosea ukiacha wale wa kwanza
Mbona hatuadhibiwi kwa dhambi za wazazi wetu?
Adam ahukumiwe kwa dhambi zake na sisi tuhukumiwe kwa dhambi zetu.
Halafu hii situation yote ya adam kurubuniwa na shetani si ni mipango ya Mungu ama?
Anatuadhibu vipi kwa mipango aliyoipanga yeye mwenyewe?
 
Lini tulimkubali huyu shetani? Kosa afanye adam na hawa tuadhibiwe binanamu wote mpk leo?
Kwani si tunaambiwa mungu ni wa huruma na ukiomba msamaha anasamehe?
Hiyo huruma yake iko wapi?
Mababu zetu Adamu na hawa walitufungulia njia ya kutokumsikiliza Mungu na kumsikiliza shetani na shetani bado tuko nae na sisi ni washikaji zake wakubwa mwanzo 3/1-5
 
Wewe binafsi umemkosea nini mungu? Ninavyoelewa ni kwamba kila mtu atahukumiwa kwa dhambi zake.
Sasa kosa afanye adam leo nihukumiwe mimi?
Na kwanini makosa/dhambi zote ukitubu anakusamehe kasoro hiyo ya adam peke yake? Haimake sense
Kutubu tutatubu na kusamehewa tutasamehewa ila muungano uliopo kati ya shetani na binadamu kwa sasa ni mkubwa mno so watu wanajidai wametubu lakini baada ya muda wanarudi kulekule
Hapo ndio ujue muungano kati ya shetani na binadamu umekolea
 
Kutubu tutatubu na kusamehewa tutasamehewa ila muungano uliopo kati ya shetani na binadamu kwa sasa ni mkubwa mno so watu wanajidai wametubu lakini baada ya muda wanarudi kulekule
Hapo ndio ujue muungano kati ya shetani na binadamu umekolea
Huu Muungano ni mipango ya mungu. Mungu anauwezo wa kuondoa hii hali.
Na pia elewa kuwa binadamu hapendi kutenda dhambi bali ni jinsi alivyoumbwa ndo humfanya atende.
Huwezi kuniambia usimtamani mwanamke asie mke wako hlf hapo hapo umeweka kitu tamaa ndani mwangu nikiona msambwanda kitu kinasimama. Tunaoneana bure tu
 
Alifungwa mwaka gani?
Yesu alikuja hapa duniani miaka 2000 iliyopita...according to history.
Ina maana muda wa shetani kukaa gerezani haujaisha tu?
Yasemekana ni wakati Yesu akiwa kuzimu sina uhakika sana na hilo lakini ni kabla hajafufuka
 
Alifungwa mwaka gani?
Yesu alikuja hapa duniani miaka 2000 iliyopita...according to history.
Ina maana muda wa shetani kukaa gerezani haujaisha tu?
Kwa mujibu wa hiyo miaka inavyohesabika si kama tunavyohesabu sisi watu wa duniani
Maana maandiko ya Mungu yanatuambia miaka 1000 ni sawa na siku 1 mbele ya Mungu alietuumba
 
hivi we unaakili kwa hizi hoja zako?
"tulipokosea sisi binadamu ni kumkubali shetani" hlf wkt huohuo unasema mungu ndo kapanga sasa si kapanga na binadamu kumkubali huyo shetani!,hlf wkt huohuo vitabu vya dini vinasema shetani ndo mbaya,kwahiyo nani mbaya..?
acha kujichanganya ndugu hebu kale ukalale
Baada ya shetani kufukuzwa huko aliko Mungu aliapa kutukomesha sisi binadamu tuliokuwa tunamfuata Mungu

Ndio maana alipotua duniani tu akaanza na sisi kwa maneno laini

Na ndio maana neno la Mungu lilituambia ole wenu mnaoishi katika nchi na Bahari maana atakaewashtaki amewajia kwa ghadhabu
 
Mbona hatuadhibiwi kwa dhambi za wazazi wetu?
Adam ahukumiwe kwa dhambi zake na sisi tuhukumiwe kwa dhambi zetu.
Halafu hii situation yote ya adam kurubuniwa na shetani si ni mipango ya Mungu ama?
Anatuadhibu vipi kwa mipango aliyoipanga yeye mwenyewe?
Tunahukumiwa kwa makosa yetu ndio kwa kuwa bado dhambi tunaifuata wenyewe
 
Back
Top Bottom