Kuna watu wanamhujumu Rais Samia au nchi imemshinda?

Kuna watu wanamhujumu Rais Samia au nchi imemshinda?

Msoga kaamua akae pembeni aonee bi mkubwa atafika wapi..[emoji16][emoji16][emoji16] acha waungane na bashite kusukuma gurudumu. Kwa dalili hizi 2025 sijuii
 
Embu acha kuandika vitu kama mtoto mdogo.kwa hiyo hivyo ndiyo vitu unavyoweza kusema nchi imemshinda? Unaelewa maana ya kuendesha Nchi?kama nchi imemshinda Angewezaje kulipa mabilioni ya pesa katika mamiradi makubwa makubwa,kulipa mishahara kwa wakati,kutoa ajira kwa vijana kwa maelfu,kuboresha huduma za afya,elimu, kusambaza maji safi na salama vijijini na mijini, kutoa Elimu bure?n.k.
Wewe ndio hujui na huelewi Mchawa poyoyo!!
 
Bandarini bado kuna shida kubwa tu. Meli imefika Ijumaa na kushusha mzigo, as per now inakaribia India. Cha kushangaza, bado gari halijatolewa Bandarini, ukiuliza, wanasema kuna changamoto ya mifumo huko TRA, serious? Almost siku sita?
 
Toka juzi mfumo wa single window wa customs unasumbua kwa sababu ya mtandao.

Magari na mizigo ya Transit inashindwa kutoka bandarini kwa sababu ving'amuzi havisomi.

Nchi hii kila kitu ni tabu, hospitality tabu, umeme tabu, maji tabu.
Mara nyingi tunatoa ushauri kwa mtawala tukiwa na nia njema. Lakini huwa wanageuza ushauri na maoni yetu kama threat kwa nchi na wanatushughulikia

Haya yanayoendelea si bahati mbaya. Waliomzunguka wanafaidika na huu ujambazi na mkwamo wanaoutengeneza.

Maadam amejibrand kama binti chura kiziwi, hatuna namna zaidi ya kumtafuta kiongozi mwenye masikio na asiye kiburi kwa ajili ya nchi yetu
 
Back
Top Bottom