Scaramanga
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 490
- 704
kamakuna changamoto watakuwa wamekusikia maana nimekutana na malori jioni hii nilipotoka taifa kuangalia yanga yakipita toka bandarini na yamefungwa king'amuziToka juzi mfumo wa single window wa customs unasumbua kwa sababu ya mtandao. Magari na mizigo ya Transit inashindwa kutoka bandarini kwa sababu ving'amuzi havisomi.
Nchi hii kila kitu ni tabu, hospitality tabu, umeme tabu, maji tabu.