Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Kuna tetesi, kuwa nchi ipo kwenye hatihati ya kufilisika 2024.CCM wanang'ang'ania kutuongoza kwa nguvu wakati hawawezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna tetesi, kuwa nchi ipo kwenye hatihati ya kufilisika 2024.CCM wanang'ang'ania kutuongoza kwa nguvu wakati hawawezi.
Wewe ni mpuuzi kweli. Kama kaweza yote hayo kwa mapana yake iweje mambo madogo madogo yamshinde?? Umeme mlituambia mitambo inafanyiwa service, mara kuna ukame, mara mvua zinanyesha mbali na mabwawa. Sababu za kitoto kabisa.Embu acha kuandika vitu kama mtoto mdogo.kwa hiyo hivyo ndiyo vitu unavyoweza kusema nchi imemshinda? Unaelewa maana ya kuendesha Nchi?kama nchi imemshinda Angewezaje kulipa mabilioni ya pesa katika mamiradi makubwa makubwa,kulipa mishahara kwa wakati,kutoa ajira kwa vijana kwa maelfu,kuboresha huduma za afya,elimu, kusambaza maji safi na salama vijijini na mijini, kutoa Elimu bure?n.k.
Aisee!!!...Kuna tetesi, kuwa nchi ipo kwenye hatihati ya kufilisika 2024.
Ichukue wewe basiToka juzi mfumo wa single window wa customs unasumbua kwa sababu ya mtandao. Magari na mizigo ya Transit inashindwa kutoka bandarini kwa sababu ving'amuzi havisomi.
Nchi hii kila kitu ni tabu, hospitality tabu, umeme tabu, maji tabu.
2024 Watazidi kuongeza Kodi na Tozo tutakaobeba huo mzigo ni sisi Wananchi.Ni tetesi tu.
Muda utazungumza
Sa Itakuwaje na wenyewe wanasema 5 tena , na ukionekana hutaki unateuliwa ubalozi !Toka juzi mfumo wa single window wa customs unasumbua kwa sababu ya mtandao. Magari na mizigo ya Transit inashindwa kutoka bandarini kwa sababu ving'amuzi havisomi.
Nchi hii kila kitu ni tabu, hospitality tabu, umeme tabu, maji tabu.
Ni hatari mno. Muda utazungumza.2024 Watazidi kuongeza Kodi na Tozo tutakaobeba huo mzigo ni sisi Wananchi.
Siyo kuisha? Na ya maji kasema itapungua mwaka gani?
Kwa hiyo kwa ubwabwajaji wako ulitegemea mvua iliyonyesha Kanda ya Ziwa Victoria, ambako mvua huanza kunyesha mapema, maji yake yakajaze mabwawa ya Mtera, Kidatu, Kihansi n.k. Sasa hiyo Jiografia uliyosoma shuleni inakusaidia nini. Mbwambwaje na akili.Wewe ni mpuuzi kweli. Kama kaweza yote hayo kwa mapana yake iweje mambo madogo madogo yamshinde?? Umeme mlituambia mitambo inafanyiwa service, mara kuna ukame, mara mvua zinanyesha mbali na mabwawa. Sababu za kitoto kabisa.
Kapikeni Vitumbua Nchi imewashinda.Kwa kweli Mama kama Mwanamke inauma inabidi wengine tuanze kutoa ushauri kwake humu.. akikubali iwe bora.. akichunia basi..
Bibi kavaa viatu oversize.Hakuna anaye muhujumu bali uwezo umeishia hapo.Hivyo basi msitake mtu atende vile vilivyo juu ya uwezo wake ni kupoteza muda.
We pwaguzi punguza kujipendekeza kwa SamiaEmbu acha kuandika vitu kama mtoto mdogo.kwa hiyo hivyo ndiyo vitu unavyoweza kusema nchi imemshinda? Unaelewa maana ya kuendesha Nchi?kama nchi imemshinda Angewezaje kulipa mabilioni ya pesa katika mamiradi makubwa makubwa,kulipa mishahara kwa wakati,kutoa ajira kwa vijana kwa maelfu,kuboresha huduma za afya,elimu, kusambaza maji safi na salama vijijini na mijini, kutoa Elimu bure?n.k.
Rais anakuwa mkali kwani anaongoza familia yake! Tunachotaka ni Rais mwenye mawazo mapana na makubwa, anayefuata katiba na utawala wa sheria, anayewajibisha wateule wake. Mambo ya ukali na upole yanahusu zaidi familia yake
Naona mishipa imekusimamaEmbu acha kuandika vitu kama mtoto mdogo.kwa hiyo hivyo ndiyo vitu unavyoweza kusema nchi imemshinda? Unaelewa maana ya kuendesha Nchi?kama nchi imemshinda Angewezaje kulipa mabilioni ya pesa katika mamiradi makubwa makubwa,kulipa mishahara kwa wakati,kutoa ajira kwa vijana kwa maelfu,kuboresha huduma za afya,elimu, kusambaza maji safi na salama vijijini na mijini, kutoa Elimu bure?n.k.
'Uwajibikaji' ni lugha ya kiuongozi tu, lakini anayewajibisha wenzie ataonekana mkali kwa anaowawajibisha.Rais anakuwa mkali kwani anaongoza familia yake! Tunachotaka ni Rais mwenye mawazo mapana na makubwa, anayefuata katiba na utawala wa sheria, anayewajibisha wateule wake. Mambo ya ukali na upole yanahusu zaidi familia yake