Kuna watu wanamhujumu Rais Samia au nchi imemshinda?

Kuna watu wanamhujumu Rais Samia au nchi imemshinda?

Toka juzi mfumo wa single window wa customs unasumbua kwa sababu ya mtandao. Magari na mizigo ya Transit inashindwa kutoka bandarini kwa sababu ving'amuzi havisomi.
Nchi hii kila kitu ni tabu, hospitality tabu, umeme tabu, maji tabu.
Ujasiri wa mtu huanzia machoni kwake.
Macho ya mama yanajieleza ndugu.
 
Nidhamu hamna tena. Leo kwa mara ya kwanza TANESCO wamekata UMEME SIKU MBILI MFULULIZO MITAA YA MAMA SAMIA MWENYEWE MBWENI JKT: KITU AMBACHO HAKIJAWAHI KUTOKEA.

Siku mbili mfululizo hakuna umeme mchana. Ukipiga simu TANESCO HUDUMA KWA WATEJA WANASEMA WAHUDUMU WOTE WAPO BUSY HALAFU WANAKATA SIMU BAADA YA SEKUNDE CHACHE. Hata ukirudia mara kumi, matokeo ni hayo hayo, simu inakatwa na TANESCO HUDUMA KWA WATEJA.
 
Toka juzi mfumo wa single window wa customs unasumbua kwa sababu ya mtandao. Magari na mizigo ya Transit inashindwa kutoka bandarini kwa sababu ving'amuzi havisomi.
Nchi hii kila kitu ni tabu, hospitality tabu, umeme tabu, maji tabu.
Kama anahujumiwa inamaanisha hajiwezi.
Hakuna wa kulaumiwa zaidi yake.

Kasimu yeye amechagua kuwa muongo wa taifa
 
Nidhamu hamna tena. Leo kwa mara ya kwanza TANESCO wamekata UMEME SIKU MBILI MFULULIZO MITAA YA MAMA SAMIA MWENYEWE MBWENI JKT. Siku 2 hakuna umeme. Ukipiga simu HUDUMA KWA WATEJA WANASEMA WAHUDUMU WOTE WAPO BUSY HALAFU WANAKATA SIMU BAADA YA SEKUNDE CHACHE. Hata ukirudia mara kumi, matokeo ni hayo hayo, simu inakatwa na TANESCO HUDUMA KWA WATEJA.
Huyu mama apumzike au apumzishwe
 
Naendelea kusema, nitashangaa sana Kama Mama Samiah atachukua fomu tena 2025. Nitashangaa sana na kufedheheka sana. Angepisha aje mtu mwingine atakaye leta unafuu.
 
Halafu wale walimu wakuu eti wanachangishana kumchukulia form ya kugombea 2025!
Ngoja mpaka kufikia 2024 watakapo fikia kutopatikana kwa mishahara ndio watajitambua

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Walimu walio wengi hawanaga akili. Kumbuka enzi hizo wengi wao walikuwa ni wale rejected. Mfano wengi wa waalimu
wa sayansi miaka Ile ni wale ambao ama hawakupata qualifications za kuwapeleka Medicine ama
Engineering au course zingine za sayansi ambazo ni nzuri. Likewise Kwa course zingine Nako ilikuwa ni hivyo hivyo. Walimu wa msingi it was even worse. Wapo wachache sana wenye akili nzuri ambao amekuwa walimu Kwa ama bahati mbaya au Kwa sababu ya kuupenda. Hapa siongelei vipanga ambao walibakizwa vyuoni Ili baadaye wawe wakufunzi vyuoni.
 
Tukubali tu kuanza upya kwenye hii nchi lakini kusema kuwa tuna Rais kiujumla hakuna kwenye hii nchi
 
Toka juzi mfumo wa single window wa customs unasumbua kwa sababu ya mtandao. Magari na mizigo ya Transit inashindwa kutoka bandarini kwa sababu ving'amuzi havisomi.
Nchi hii kila kitu ni tabu, hospitality tabu, umeme tabu, maji tabu.
Hamia Gaza kule sio tabu
 
Kuna tetesi, kuwa nchi ipo kwenye hatihati ya kufilisika 2024.
Nyie nyumbu wa Chadema mtajulia wapi hayo mambo , Watumishi ndio tunajua.

Ukiona posho zinatoka ujue mambo ni matamu kuliko kawaida.

Nchi ingefilisika Waziri wa Fedha asingeongeza kiwango cha kuchukua Dola.
 
Nidhamu hamna tena. Leo kwa mara ya kwanza TANESCO wamekata UMEME SIKU MBILI MFULULIZO MITAA YA MAMA SAMIA MWENYEWE MBWENI JKT: KITU AMBACHO HAKIJAWAHI KUTOKEA.

Siku mbili mfululizo hakuna umeme mchana. Ukipiga simu TANESCO HUDUMA KWA WATEJA WANASEMA WAHUDUMU WOTE WAPO BUSY HALAFU WANAKATA SIMU BAADA YA SEKUNDE CHACHE. Hata ukirudia mara kumi, matokeo ni hayo hayo, simu inakatwa na TANESCO HUDUMA KWA WATEJA.
Ulidhani kukaa jirani na nyumba ya Rais ndio itakusaisia kuwa na Umeme Kama haupo ni haupo tuu
 
Embu acha kuandika vitu kama mtoto mdogo.kwa hiyo hivyo ndiyo vitu unavyoweza kusema nchi imemshinda? Unaelewa maana ya kuendesha Nchi?kama nchi imemshinda Angewezaje kulipa mabilioni ya pesa katika mamiradi makubwa makubwa,kulipa mishahara kwa wakati,kutoa ajira kwa vijana kwa maelfu,kuboresha huduma za afya,elimu, kusambaza maji safi na salama vijijini na mijini, kutoa Elimu bure?n.k.
Chawa punguza kuiaibisha familia yako na ujinga mdogo mdogo.
 
Back
Top Bottom