Kuna watu wanampinga Mwamposa wakati nabii wao alikabwa mapangoni na wengine wanaabudu sanamu la bikira mwenye watoto watano

Niliandika nikafuta mara3 lkn kabla sijakujibu naomba kutambua umri wako kwanza?

Kitu kingine punguza mihemko katika kuandika,jifunze kuandika kwa kutumia tafiti za kweli.
Hapa ndio umemaliza na kutumia ubongo wako wote?
 
Sasa ndo nini hii?

Wewe unaemuamini yesu ndo uko sahihi? ndo ujinga wa dini, kila mtu anaona yake ndo sahihi

Wewe utakua mlokole 'sina dini, niko na yesu' walokole ni wakristo waliochangamka
Mimi nimewashangaa wanaomponda Mwamposa wakati wao wanasafiri maelfu ya kilometer kwenda kubusu jiwe na kumpiga mawe shetani.

Wengine wametengeneza sanamu la bikira halafu wanaliabudu. Wanaombea watu waliokufa nk lakini wanampinga anayeombea waliohai.

Kuwa na Yesu Kristo moyoni hakuna uhusiano na dini na wala hakubagui wengine.
 
Ubongo wako una utando wa dini.
 
Papa anayebariki mashoga na muhammad anayewapa watu danguro huko ahera ndio sio matapeli?
Hapa ana zungumziwa tapeli mwamposa sio huyo bibi kizee kichaa anaeitwa papa wala sio mudi
 
M
Mwamposa bana, ndiyo umeamua kuja kihivi?
 
Unamsikia huyu FaizaFoxy

Ova
 
Raha sana.

Na wewe unawashangaa?
 
Mimi mpaka sasa sijaelewa lengo la mleta mada, aliyemuelewa anieleweshe.
 
Mimi m0aka sasa sijaelewa lengo la mleta mada, aliyemuelewa anieleweshe.
maisha kayakosea mwenyewe ujanani akiwa na nguvu, na sasa yanamvuruga ukubwani akiwa hana kitu hana cha kufanya kazi kufuatilia ya watu huku yake yamemshinda kabisa 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…