GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Ilitokea mkoani Geita mwaka 2019.
Walimtolea sadaka na kumwomba awabariki.
Kwao, nyoka aina ya chatu si kiumbe cha kawaida, bali ni mungu.
Lakini miaka minne imeshapita sasa tokea hicho kituo kitokee Geita.
Bado huo utamaduni upo Tanzania?
Walimtolea sadaka na kumwomba awabariki.
Kwao, nyoka aina ya chatu si kiumbe cha kawaida, bali ni mungu.
Lakini miaka minne imeshapita sasa tokea hicho kituo kitokee Geita.
Bado huo utamaduni upo Tanzania?