Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure,hili bado cha mtoto. Watu wanayo mafurushi mazito mioyoni mwao.Still hayo bado ni madogo watu wamebeba zaidi ya hayo
Nimeipata kutoka kwenye mdomo wa muathirika wa tukio.
Ndio uende kulala na Mume wa mtoto wako??Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...
Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
Nadhani kuna jamaa wa CHADEMA atakuwa anachukua mkewe maana si kwa chuki hizo aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hivi huwa una shida gani!? Ngoja waje wenyewe [emoji23] kwaiyo watapinga kwamba
Huyu ni pimbi sn, kila kitu ni chadema tu!Mkuu utakuwa na psychological disorder sio bure,kwani hao Chadema walikufanya nini?
Vipi kuhusu mke wa huyo jamaa alikua na shida gani hadi akamle mama mkwe?Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...
Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
Hata kama hapelekewi moto ndiyo achukue Mme wa mwanaye? Embu waza kwa sauti ya chini !Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...
Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
Hizi zingine ni assumptions nyepesi sana. Factors ni nyingi sana katika haya mambo. Ila moja wapo kubwa ni tamaa, japo huwa inakuwa overlooked.Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...
Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
Umalaya tu wa mwanamke, hana aibu shetani yule kwann afanyane na mkwewe?Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...
Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Huyo mwongo mkubwa.
Ogopa sana watu design hiyo. Shukuru hakujua kuwa unashukia karibu.
Mwishoni ingefuata mlolongo wa shida:
Hapa unaponiona sijala siku tatu!
Hili jicho nimeambiwa nipeleke laki tatu nifanyiwe operation!
Ile nyumba niliweka rehani, sasa inapigwa mnada, nk,nk,
Hilo huwa ni lipumbavu sana.Na utakuta linaishi na mwanamke linamuita mke wake.Zuzu sana.😂😂Mkuu hivi huwa una shida gani!? Ngoja waje wenyewe 😂 kwaiyo watapinga kwamba
Haya mambo tokea kitambo sana yalitokea dunia ina mambo yake paliko na wengi pana mengiNadhani sasa tunaelekea mwisho wa hii Dunia!! Hakuna ubinadamu tena bali ni unyama tu! How can a sane human being commit such a heinous act? Nimesoma mpaka mwili umesisimka.