Kuna watu wanatembea na mizigo mizito kichwani ukipata nafasi wasikilize

Kuna watu wanatembea na mizigo mizito kichwani ukipata nafasi wasikilize

Mtu akiamua kuchepuka, anachepuka hata km ukeshe unampelekea moto.
Huwezi kumbadili mtu malaya. Kumbuka kuoa au kuolewa siyo mwisho wa kupenda ni kuridhika tu.
Sawa hampelekei moto ndiyo atoke na mume wa binti yake?
Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...

Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
 
Leo nikiwa katika usafiri wa jamii baba mmoja mwenye plasta jichoni alinisalimia vizuri tu na kuniuliza ninapoelekea. Ni wazi kuwa alikua anatafuta mtu wa kuongea nae ila asichokijua ni kuwa ninashare story humu jukwaani hasa mikasa halisi ya watu.

Huyu bwana alidumu kwenye ndoa kwa miaka 28 na binti yao wa kwanza mwenye miaka 27 alishaolewa harusi na anaishi kwa mume wake. Mzee mwenyewe alikua dereva wa Malory makubwa ya kusambaza bidhaa kutoka nchi moja kwenda nyingine.

Uchumi wao si haba waliishi katika nyumba ya kisasa aliyoijenga kwa pesa yake. Binti yake akiwa na ujauzito wa tatu kuna jirani aliyemuonba wakutane bar ya jirani kwa mazungumzo. Wakiwa bar jirani alinunua round ya kwanza na soup ya kongoro walipata supu na chapati huku jirani akiongelea uchumi wa nchi na bei ya vitu kupanda.

Walipata round ya tatu na kuku wa makange, alimuuliza jirani yaani umeniita kuja kuninunulia chakula? Jirani alimtaarifu kuwa yale yalikua ni maandalizi kwani alikomuitia ni zito. Mwisho alifunguka kuwa unafahamu mume wa binti yako ndiye Ben-10 wa mke wako? Mzee anasema ilichukua kama dakika tano hivi yale maneno kuingia akilini.

Jirani alimfahamisha kuwa akiwa safari, mkwe mkwee anatawala nyumba yake na majirani humuona a vyoingia na kutoka, huwa anatoka saa nane usiku kwake anakwenda kuitokia roll call kuwa alilala pale. Jirani aliendelea kuwa mkewe ni mwerevu sana katika kuficha hili, ukimuuliza atakataa na anaweza kubadilisha mbinu. Kama una moyo panga mtego wa kuwafuma.

Ni kweli mzee dereva aliaga ana peleka mzigo DRC Congo kumbe amechukua chumba guest mpaka saa tano sita ndiyo akaibuka nyumbani. Mtego ulinasa mkwe akiwa katika matrimonial bed ya wakwe hakuwa na Pa kukimbilia. Walizichapa sana na mkwe alimrushia ngumi baba mkwe jichoni iliyomuumiza sana wakati huo mke akitoka kuomba msaada.

Nyumbani binti alipoyasikia ujauzito uliharibika kwa shock, na binti aliapa kumuua mama yake. Mwisho binti alipata mental breakdown na ilibidi atibiwe hospitali maalum ya akili kwa muda mrefu, bibi alipewa wajukuu awalee na ndoa zote mbili zilivunjika.

Sikufahamu zaidi ya hapa kwani basi lilishafika Kwamtogole ambacho ndiyo kituo changu.
Huyo mzee mgese nini...sasa yeye anamshambulia jamaa baadala ya kumshambulia mke wake anaye gawa utamu wake.

Yote kwa yote wanaume tunajitakia haya mambo....weee mwanamke wako ukiwa umezamisja de libolo lako....ukiondoka huyo yoyote anaweza mkula.
 
Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...

Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
Tumia akili na wewe bwn! Huu ni upotovu wa maadili tu. Kwani huo moto ni lazima apelekewe na mkwe wake? Wachafu nyie!!
 
Leo nikiwa katika usafiri wa jamii baba mmoja mwenye plasta jichoni alinisalimia vizuri tu na kuniuliza ninapoelekea. Ni wazi kuwa alikua anatafuta mtu wa kuongea nae ila asichokijua ni kuwa ninashare story humu jukwaani hasa mikasa halisi ya watu.

Huyu bwana alidumu kwenye ndoa kwa miaka 28 na binti yao wa kwanza mwenye miaka 27 alishaolewa harusi na anaishi kwa mume wake. Mzee mwenyewe alikua dereva wa Malory makubwa ya kusambaza bidhaa kutoka nchi moja kwenda nyingine.

Uchumi wao si haba waliishi katika nyumba ya kisasa aliyoijenga kwa pesa yake. Binti yake akiwa na ujauzito wa tatu kuna jirani aliyemuonba wakutane bar ya jirani kwa mazungumzo. Wakiwa bar jirani alinunua round ya kwanza na soup ya kongoro walipata supu na chapati huku jirani akiongelea uchumi wa nchi na bei ya vitu kupanda.

Walipata round ya tatu na kuku wa makange, alimuuliza jirani yaani umeniita kuja kuninunulia chakula? Jirani alimtaarifu kuwa yale yalikua ni maandalizi kwani alikomuitia ni zito. Mwisho alifunguka kuwa unafahamu mume wa binti yako ndiye Ben-10 wa mke wako? Mzee anasema ilichukua kama dakika tano hivi yale maneno kuingia akilini.

Jirani alimfahamisha kuwa akiwa safari, mkwe mkwee anatawala nyumba yake na majirani humuona a vyoingia na kutoka, huwa anatoka saa nane usiku kwake anakwenda kuitokia roll call kuwa alilala pale. Jirani aliendelea kuwa mkewe ni mwerevu sana katika kuficha hili, ukimuuliza atakataa na anaweza kubadilisha mbinu. Kama una moyo panga mtego wa kuwafuma.

Ni kweli mzee dereva aliaga ana peleka mzigo DRC Congo kumbe amechukua chumba guest mpaka saa tano sita ndiyo akaibuka nyumbani. Mtego ulinasa mkwe akiwa katika matrimonial bed ya wakwe hakuwa na Pa kukimbilia. Walizichapa sana na mkwe alimrushia ngumi baba mkwe jichoni iliyomuumiza sana wakati huo mke akitoka kuomba msaada.

Nyumbani binti alipoyasikia ujauzito uliharibika kwa shock, na binti aliapa kumuua mama yake. Mwisho binti alipata mental breakdown na ilibidi atibiwe hospitali maalum ya akili kwa muda mrefu, bibi alipewa wajukuu awalee na ndoa zote mbili zilivunjika.

Sikufahamu zaidi ya hapa kwani basi lilishafika Kwamtogole ambacho ndiyo kituo changu.
afya ya akili imeyumba
 
Mfanyakazi mmoja wa basi maarufu Dar Moro, alikuwa mshikaji kupitia hizi safari zetu na kubeba mizigo. Nikawa simuoni, Kwa muda. Nikauliza pale Ubungo, nini kimemkumba, kafukuzwa kazi, wakasema hapana,

Stori ni hivi, huyo kaka kazi yake na alipojenga, ilikuwa lazima 10alfajiri lazima atoke, kwenda Ubungo, mke anamuacha ndani na watoto wadogo wa msingi, kurudi saa2 usiku, huku nyuma yeye akitoka, mwingine anaingia.
Ikaendelea majirani ikawakera, siku ya siku mmoja, akamuita akamuelezea, akamwambia weka mtego.
Jamaa akaaga alfajiri anaenda job, akajibanza, mbele huko, watoto wakaandaliwa kwenda shule. Yeye akawadakia njiani akawapost, akawasafirisha. Baadaye, walipoondoka kweli geti likafunguliwa msaidizi akaingia.
Mwenye mji akarudi na mapanga, aliwacharanga vibaya. Akajua kaua, akakimbia, kumbe aliwajeruhi vibaya, wakalazwa wakaugulia wamepona.

Ila wawili hao walishaachana. Watoto walipelekwa kwa bibi huko mikoani!

Popote alipo, nampa pole SANA, sijui yu mzima au mfu! Inasemekana alikimbilia mkoa fulani.
 
Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...

Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
Kahaba ni kahaba tu acha ushamba. Hii ni kama drug addict, na mwanamke mwenye tabia hii ni vigumu kuacha. BTW pengine wewe bado ni mtoto na umeathirika na video za porn unadhani ili mwanamke atosheke ni lazima ''umpelekee moto sana'' NB: hata kama wewe ni mwanamke basi inaonyesha umeathirika kisaikolojia!
 
Leo nikiwa katika usafiri wa jamii baba mmoja mwenye plasta jichoni alinisalimia vizuri tu na kuniuliza ninapoelekea. Ni wazi kuwa alikua anatafuta mtu wa kuongea nae ila asichokijua ni kuwa ninashare story humu jukwaani hasa mikasa halisi ya watu.

Huyu bwana alidumu kwenye ndoa kwa miaka 28 na binti yao wa kwanza mwenye miaka 27 alishaolewa harusi na anaishi kwa mume wake. Mzee mwenyewe alikua dereva wa Malory makubwa ya kusambaza bidhaa kutoka nchi moja kwenda nyingine.

Uchumi wao si haba waliishi katika nyumba ya kisasa aliyoijenga kwa pesa yake. Binti yake akiwa na ujauzito wa tatu kuna jirani aliyemuonba wakutane bar ya jirani kwa mazungumzo. Wakiwa bar jirani alinunua round ya kwanza na soup ya kongoro walipata supu na chapati huku jirani akiongelea uchumi wa nchi na bei ya vitu kupanda.

Walipata round ya tatu na kuku wa makange, alimuuliza jirani yaani umeniita kuja kuninunulia chakula? Jirani alimtaarifu kuwa yale yalikua ni maandalizi kwani alikomuitia ni zito. Mwisho alifunguka kuwa unafahamu mume wa binti yako ndiye Ben-10 wa mke wako? Mzee anasema ilichukua kama dakika tano hivi yale maneno kuingia akilini.

Jirani alimfahamisha kuwa akiwa safari, mkwe mkwee anatawala nyumba yake na majirani humuona a vyoingia na kutoka, huwa anatoka saa nane usiku kwake anakwenda kuitokia roll call kuwa alilala pale. Jirani aliendelea kuwa mkewe ni mwerevu sana katika kuficha hili, ukimuuliza atakataa na anaweza kubadilisha mbinu. Kama una moyo panga mtego wa kuwafuma.

Ni kweli mzee dereva aliaga ana peleka mzigo DRC Congo kumbe amechukua chumba guest mpaka saa tano sita ndiyo akaibuka nyumbani. Mtego ulinasa mkwe akiwa katika matrimonial bed ya wakwe hakuwa na Pa kukimbilia. Walizichapa sana na mkwe alimrushia ngumi baba mkwe jichoni iliyomuumiza sana wakati huo mke akitoka kuomba msaada.

Nyumbani binti alipoyasikia ujauzito uliharibika kwa shock, na binti aliapa kumuua mama yake. Mwisho binti alipata mental breakdown na ilibidi atibiwe hospitali maalum ya akili kwa muda mrefu, bibi alipewa wajukuu awalee na ndoa zote mbili zilivunjika.

Sikufahamu zaidi ya hapa kwani basi lilishafika Kwamtogole ambacho ndiyo kituo changu.
Duh, Kuna mambo hii Dunia unaona bora waliokufa
 
Vipi kuhusu mke wa huyo jamaa alikua na shida gani hadi akamle mama mkwe?
Umemgonga na swali zuri sana sana. Mimi nimeshamwambia hii ni tabia na haina uhusiano na ''ufundi wa kupelekea moto''. Wabongo wengi porn imewaathiri wanadhani mwanamke bila kumfanyia ''porn style'' haridhiki.
 
Back
Top Bottom