Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
๐๐๐๐๐Na kweliUkiendelea vituo viwili mbele ulikuwa unatapeliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Na kweliUkiendelea vituo viwili mbele ulikuwa unatapeliwa
Sasa kama katumwa na mganga wake tufanyeje...[emoji1787][emoji1787]Umalaya tu wa mwanamke, hana aibu shetani yule kwann afanyane na mkwewe?
Inawezekana kwa jambo kama hilo aende kufumania bila mashahidi?Leo nikiwa katika usafiri wa jamii baba mmoja mwenye plasta jichoni alinisalimia vizuri tu na kuniuliza ninapoelekea. Ni wazi kuwa alikua anatafuta mtu wa kuongea nae ila asichokijua ni kuwa ninashare story humu jukwaani hasa mikasa halisi ya watu.
Huyu bwana alidumu kwenye ndoa kwa miaka 28 na binti yao wa kwanza mwenye miaka 27 alishaolewa harusi na anaishi kwa mume wake. Mzee mwenyewe alikua dereva wa Malory makubwa ya kusambaza bidhaa kutoka nchi moja kwenda nyingine.
Uchumi wao si haba waliishi katika nyumba ya kisasa aliyoijenga kwa pesa yake. Binti yake akiwa na ujauzito wa tatu kuna jirani aliyemuonba wakutane bar ya jirani kwa mazungumzo. Wakiwa bar jirani alinunua round ya kwanza na soup ya kongoro walipata supu na chapati huku jirani akiongelea uchumi wa nchi na bei ya vitu kupanda.
Walipata round ya tatu na kuku wa makange, alimuuliza jirani yaani umeniita kuja kuninunulia chakula? Jirani alimtaarifu kuwa yale yalikua ni maandalizi kwani alikomuitia ni zito. Mwisho alifunguka kuwa unafahamu mume wa binti yako ndiye Ben-10 wa mke wako? Mzee anasema ilichukua kama dakika tano hivi yale maneno kuingia akilini.
Jirani alimfahamisha kuwa akiwa safari, mkwe mkwee anatawala nyumba yake na majirani humuona a vyoingia na kutoka, huwa anatoka saa nane usiku kwake anakwenda kuitokia roll call kuwa alilala pale. Jirani aliendelea kuwa mkewe ni mwerevu sana katika kuficha hili, ukimuuliza atakataa na anaweza kubadilisha mbinu. Kama una moyo panga mtego wa kuwafuma.
Ni kweli mzee dereva aliaga ana peleka mzigo DRC Congo kumbe amechukua chumba guest mpaka saa tano sita ndiyo akaibuka nyumbani. Mtego ulinasa mkwe akiwa katika matrimonial bed ya wakwe hakuwa na Pa kukimbilia. Walizichapa sana na mkwe alimrushia ngumi baba mkwe jichoni iliyomuumiza sana wakati huo mke akitoka kuomba msaada.
Nyumbani binti alipoyasikia ujauzito uliharibika kwa shock, na binti aliapa kumuua mama yake. Mwisho binti alipata mental breakdown na ilibidi atibiwe hospitali maalum ya akili kwa muda mrefu, bibi alipewa wajukuu awalee na ndoa zote mbili zilivunjika.
Sikufahamu zaidi ya hapa kwani basi lilishafika Kwamtogole ambacho ndiyo kituo changu.
Kama Taulo la GuestNina imani nitakufa na siri za watu wengi sana
Yes, inatokea sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama Taulo la Guest
Kwa hiyo ni sawa mkwe kula kuku na mayai?.Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...
Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
Upo sawa mkuu...Ingawa sina uhakika sana kama hii stori ni ya kweli au ni tungo tu.
Vyovyote vile mimi binafsi namheshimu sana mwanamke, ila tu mwanamke tofauti na mama wengine wote nakua na tahadhari kubwa sana nao.
Hakuna cha kupelekewa moto wala nini.Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...
Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
Kwa hiyo nimekupa store yangu uje kuibandika hukuLeo nikiwa katika usafiri wa jamii baba mmoja mwenye plasta jichoni alinisalimia vizuri tu na kuniuliza ninapoelekea. Ni wazi kuwa alikua anatafuta mtu wa kuongea nae ila asichokijua ni kuwa ninashare story humu jukwaani hasa mikasa halisi ya watu.
Huyu bwana alidumu kwenye ndoa kwa miaka 28 na binti yao wa kwanza mwenye miaka 27 alishaolewa harusi na anaishi kwa mume wake. Mzee mwenyewe alikua dereva wa Malory makubwa ya kusambaza bidhaa kutoka nchi moja kwenda nyingine.
Uchumi wao si haba waliishi katika nyumba ya kisasa aliyoijenga kwa pesa yake. Binti yake akiwa na ujauzito wa tatu kuna jirani aliyemuonba wakutane bar ya jirani kwa mazungumzo. Wakiwa bar jirani alinunua round ya kwanza na soup ya kongoro walipata supu na chapati huku jirani akiongelea uchumi wa nchi na bei ya vitu kupanda.
Walipata round ya tatu na kuku wa makange, alimuuliza jirani yaani umeniita kuja kuninunulia chakula? Jirani alimtaarifu kuwa yale yalikua ni maandalizi kwani alikomuitia ni zito. Mwisho alifunguka kuwa unafahamu mume wa binti yako ndiye Ben-10 wa mke wako? Mzee anasema ilichukua kama dakika tano hivi yale maneno kuingia akilini.
Jirani alimfahamisha kuwa akiwa safari, mkwe mkwee anatawala nyumba yake na majirani humuona a vyoingia na kutoka, huwa anatoka saa nane usiku kwake anakwenda kuitokia roll call kuwa alilala pale. Jirani aliendelea kuwa mkewe ni mwerevu sana katika kuficha hili, ukimuuliza atakataa na anaweza kubadilisha mbinu. Kama una moyo panga mtego wa kuwafuma.
Ni kweli mzee dereva aliaga ana peleka mzigo DRC Congo kumbe amechukua chumba guest mpaka saa tano sita ndiyo akaibuka nyumbani. Mtego ulinasa mkwe akiwa katika matrimonial bed ya wakwe hakuwa na Pa kukimbilia. Walizichapa sana na mkwe alimrushia ngumi baba mkwe jichoni iliyomuumiza sana wakati huo mke akitoka kuomba msaada.
Nyumbani binti alipoyasikia ujauzito uliharibika kwa shock, na binti aliapa kumuua mama yake. Mwisho binti alipata mental breakdown na ilibidi atibiwe hospitali maalum ya akili kwa muda mrefu, bibi alipewa wajukuu awalee na ndoa zote mbili zilivunjika.
Sikufahamu zaidi ya hapa kwani basi lilishafika Kwamtogole ambacho ndiyo kituo changu.
Hana akili nzuri[emoji23][emoji23]Mkuu hivi huwa una shida gani!? Ngoja waje wenyewe [emoji23] kwaiyo watapinga kwamba
Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...
Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...