jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Ukiwa na pepo la ngono unaweza lala hata na Mbwa! Mungu atunusuru tu kwa kweli!!!Ila Jamani Kuna watu Wana mambo magumu..unapata wapi ujasiri wa kulala na mkweo!!??..eeiii kinyaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa na pepo la ngono unaweza lala hata na Mbwa! Mungu atunusuru tu kwa kweli!!!Ila Jamani Kuna watu Wana mambo magumu..unapata wapi ujasiri wa kulala na mkweo!!??..eeiii kinyaa
Wakanyaga mafuta haaa haaa hebu imagine! Mbengo zitafongoka!Haya ni maneno kutoka kwa mtu anaempenda Yesu[emoji848],kwahiyo ndio apelekewe moto na mkwe wake ?[emoji706][emoji706]
Kama huwezi Ku reveal identity usiseme kabisa!Huyo jirani mnunua supu ni muuaji.
Alitoboa hiyo Siri kwa faida ya Nani?
Ona Sasa.
Mimi nikimuona mtu na mke wa watu Sana Sana nitamuambia mtu hiyo story bila ku reveal identity.
Ya kutofikishwa kileleni, Ya vibamia, au Ya mabwawa!?Still hayo bado ni madogo watu wamebeba zaidi ya hayo
Bambushka una kifua?Kama huwezi Ku reveal identity usiseme kabisa!
Mie nitakukaba aisee! Makongoro yatakutokea puani!
Mimi usiniambie kama hutaki nitajia mwizi wangu!
Hadi na mkweo!?Hapa nahisi mzee atakuwa ampelekei moto mkewe vizuri...
Yani kama mzee hujui kupeleka moto utasaidiwa sana...
Yaani Kama Bongo movie vile au zile movie za ki Nigeria!!!Ila Jamani Kuna watu Wana mambo magumu..unapata wapi ujasiri wa kulala na mkweo!!??..eeiii kinyaa
Hii chai hii. Yaani binti alipata mental prob na ilibididi atibiwe Kwa muda mrefu Ila Baba yake bado anaplasta jichoni mpaka Leo mnakutana. Usitufanyie hivyoLeo nikiwa katika usafiri wa jamii baba mmoja mwenye plasta jichoni alinisalimia vizuri tu na kuniuliza ninapoelekea. Ni wazi kuwa alikua anatafuta mtu wa kuongea nae ila asichokijua ni kuwa ninashare story humu jukwaani hasa mikasa halisi ya watu.
Huyu bwana alidumu kwenye ndoa kwa miaka 28 na binti yao wa kwanza mwenye miaka 27 alishaolewa harusi na anaishi kwa mume wake. Mzee mwenyewe alikua dereva wa Malory makubwa ya kusambaza bidhaa kutoka nchi moja kwenda nyingine.
Uchumi wao si haba waliishi katika nyumba ya kisasa aliyoijenga kwa pesa yake. Binti yake akiwa na ujauzito wa tatu kuna jirani aliyemuonba wakutane bar ya jirani kwa mazungumzo. Wakiwa bar jirani alinunua round ya kwanza na soup ya kongoro walipata supu na chapati huku jirani akiongelea uchumi wa nchi na bei ya vitu kupanda.
Walipata round ya tatu na kuku wa makange, alimuuliza jirani yaani umeniita kuja kuninunulia chakula? Jirani alimtaarifu kuwa yale yalikua ni maandalizi kwani alikomuitia ni zito. Mwisho alifunguka kuwa unafahamu mume wa binti yako ndiye Ben-10 wa mke wako? Mzee anasema ilichukua kama dakika tano hivi yale maneno kuingia akilini.
Jirani alimfahamisha kuwa akiwa safari, mkwe mkwee anatawala nyumba yake na majirani humuona a vyoingia na kutoka, huwa anatoka saa nane usiku kwake anakwenda kuitokia roll call kuwa alilala pale. Jirani aliendelea kuwa mkewe ni mwerevu sana katika kuficha hili, ukimuuliza atakataa na anaweza kubadilisha mbinu. Kama una moyo panga mtego wa kuwafuma.
Ni kweli mzee dereva aliaga ana peleka mzigo DRC Congo kumbe amechukua chumba guest mpaka saa tano sita ndiyo akaibuka nyumbani. Mtego ulinasa mkwe akiwa katika matrimonial bed ya wakwe hakuwa na Pa kukimbilia. Walizichapa sana na mkwe alimrushia ngumi baba mkwe jichoni iliyomuumiza sana wakati huo mke akitoka kuomba msaada.
Nyumbani binti alipoyasikia ujauzito uliharibika kwa shock, na binti aliapa kumuua mama yake. Mwisho binti alipata mental breakdown na ilibidi atibiwe hospitali maalum ya akili kwa muda mrefu, bibi alipewa wajukuu awalee na ndoa zote mbili zilivunjika.
Sikufahamu zaidi ya hapa kwani basi lilishafika Kwamtogole ambacho ndiyo kituo changu.
Hapo hata mimi nilishangaa sanaHii chai hii. Yaani binti alipata mental prob na ilibididi atibiwe Kwa muda mrefu Ila Baba yake bado anaplasta jichoni mpaka Leo mnakutana. Usitufanyie hivyo
Mimi mizigo mizito haina nafasi kwenye maisha yangu sina shida mpya ambayo sijawahi pitia ktk hustle zangu.Ya kutofikishwa kileleni, Ya vibamia, au Ya mabwawa!?
Tuambie tu lililokusibu mkuu, huenda ukapata mrejesho wakukufaa!
Mkuu nisijue!Bambushka una kifua?
Unajua ukiambiwa Kuna mtu anamkula wife usipoangalia unaweza ukaua mtu. Hasa ukijiganya unaweka mtego halafu mtego ukanasa.
Aisee Mimi siwezi kuweka mtego wa kijinga namna hiyo Ila acha tu nisiseme......yaani sehemu labda unaishukia uvinza halafu mtu aikojolee...! Dharau iliyoje....
Huyo Baba huenda havai jicho bandia, Kwa hiyo lile jicho lenye shida analifunika. IPO hiyo wawezakuta jicho linatoka Tu machozi, halioni!Hapo hata mimi nilishangaa sana
Nyie mashoga bila kuitaja chadema mnawashwaChadema watakuja na mambo yao ya hovyo
Nimekumbuka Waswanu - Dodoma.Kwa hiyo ni sawa mkwe kula kuku na mayai?.
We huwajui wanawake,ngoja siku ukioa,hawajui wanachotaka.
Story Kama hii niliisikia kutoka kwa sheikh mmoja pale Kariakoo,ila kwenye story ya Sheikh Mke ndiyo alitumbua jipu kwa sheikh baada ya kumfamania Mumewe na Mama yake Mzazi,wakati huo Mama yake kamwacha Mumewe huko Zanzibar ambae ndiyo Baba yake Mzazi,na nazani hadi issue ya Mama mkwee kushika ujauzito wa mkwee wake!!!Huyo Baba huenda havai jicho bandia, Kwa hiyo lile jicho lenye shida analifunika. IPO hiyo wawezakuta jicho linatoka Tu machozi, halioni!
Sijui kama chai au kahawa Ila haya mambo yapo!
Astaghafilullah!Story Kama hii niliisikia kutoka kwa sheikh mmoja pale Kariakoo,ila kwenye story ya Sheikh Mke ndiyo alitumbua jipu kwa sheikh baada ya kumfamania Mumewe na Mama yake Mzazi,wakati huo Mama yake kamwacha Mumewe huko Zanzibar ambae ndiyo Baba yake Mzazi,na nazani hadi issue ya Mama mkwee kushika ujauzito wa mkwee wake!!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app